Huu msemo ni mzuri sana ingawa ni kama wa kihuni

Doto12

JF-Expert Member
Nov 2, 2023
268
568
Maisha yanapoandamwa na shida za saikolojia ni shida. Misemo kama hii huweza kuibuka.

1000004934.jpg


Kwa sasa nautumia

Mtaani kwangu naona nanuniwa. Nimeamua kudeal na kaz zangu tu.

Kazini kwangu kuna maneno kupitia vyanzo si rasmi naona kuna maneno maneno juu yangu.

Nimeamua kustick na Mungu na kazi zangu na kuhudumia familia. I won't listen to anybody hata aje nani
 
Maisha yanapoandamwa na shida za saikolojia ni shida. Maisemore kama hii huweza kuibuka.

View attachment 2803576

Kwa sasa nautumia

Mtaani kwangu naona nanuniwa. Nimeamua kudeal na kaz zangu tu.

Kazini kwangu kuna maneno kupitia vyanzo si rasmi naona kuna maneno maneno juu yangu.

Nimeamua kustick na Mungu na kazi zangu na kuhudumia familia. I won't listen to anybody hata aje nani
Nini chanzo cha hizo chokochoko kama sio wewe mwenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom