Doto12
JF-Expert Member
- Nov 2, 2023
- 268
- 568
Maisha yanapoandamwa na shida za saikolojia ni shida. Misemo kama hii huweza kuibuka.
Kwa sasa nautumia
Mtaani kwangu naona nanuniwa. Nimeamua kudeal na kaz zangu tu.
Kazini kwangu kuna maneno kupitia vyanzo si rasmi naona kuna maneno maneno juu yangu.
Nimeamua kustick na Mungu na kazi zangu na kuhudumia familia. I won't listen to anybody hata aje nani
Kwa sasa nautumia
Mtaani kwangu naona nanuniwa. Nimeamua kudeal na kaz zangu tu.
Kazini kwangu kuna maneno kupitia vyanzo si rasmi naona kuna maneno maneno juu yangu.
Nimeamua kustick na Mungu na kazi zangu na kuhudumia familia. I won't listen to anybody hata aje nani