O Ozon JF-Expert Member Joined Dec 19, 2024 Posts 2,873 Reaction score 4,633 Feb 12, 2026 #41 Masai wa Town said: Natamani nikajilipuwe Ofisini kwao Click to expand... Hapa sasa umeongea
M Mjamaa86 JF-Expert Member Joined Jul 10, 2018 Posts 779 Reaction score 785 Feb 13, 2026 #42 Dr Matola PhD said: Wabunge miaka mitano wanapewa chao mapema. Ilibidi Wabunge wasubili nao mpaka wafike miaka 60 ndio hili jambo lingepata ufumbuzi. Miradi ya Nssf hajuba gawiwo lilote wanalonufaika wanachama, wachawi wakubwa hao. Click to expand... Kweli kabisa, tukomae na hawa mafisiemu waliojazana mule bungeni kupitisha Sheria za ovyo, huku wao miaka mitano (5) tuu chaaap bila kuchelewa washawekewa mzigo..
Dr Matola PhD said: Wabunge miaka mitano wanapewa chao mapema. Ilibidi Wabunge wasubili nao mpaka wafike miaka 60 ndio hili jambo lingepata ufumbuzi. Miradi ya Nssf hajuba gawiwo lilote wanalonufaika wanachama, wachawi wakubwa hao. Click to expand... Kweli kabisa, tukomae na hawa mafisiemu waliojazana mule bungeni kupitisha Sheria za ovyo, huku wao miaka mitano (5) tuu chaaap bila kuchelewa washawekewa mzigo..