Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 7,916
- 14,641
Aisee tuna ndugu majini kumbe? Mbona tunafichana ndugu zangu.
si ajabu shetani kujigeuza akajifanya kana kwamba ni malaika wa nuru. Una habari hata huyo Allah ni mmoja wa miungu tuliokatazwa tusiiabudu?Dini ya kiislam wanadai wapo majini wema na majini wabaya , ukristo unasemaje kuhusu hao malaika unaodai ndio majini
Kabla majini hawajasilim walikua dini gani
Allah neno la kiarabu , Wakristo wa Palestine na uarabu kote biblia yao neno Mungu limeandikwa hivyosi ajabu shetani kujigeuza akajifanya kana kwamba ni malaika wa nuru. Una habari hata huyo Allah ni mmoja wa miungu tuliokatazwa tusiiabudu?
mungu wa waislamu siye wa wa KristoAllah neno la kiarabu , Wakristo wa Palestine na uarabu kote biblia yao neno Mungu limeandikwa hivyo
Sikatai ila nakupa elimu ya wazi mno , Wakristo waliopo uarabu ndani ya biblia yao Mungu kaandikwa kwa jina Allah kama lugha yao inavyotakamungu wa waislamu siye wa wa Kristo
Sredi tayari.
ishu sio jina linavyoandikwa/itwa. sio kila mungu ni Mungu. ndio maana kuna Mungu na miunguSikatai ila nakupa elimu ya wazi mno , Wakristo waliopo uarabu ndani ya biblia yao Mungu kaandikwa kwa jina Allah kama lugha yao inavyotaka
Siamini.Ila mkuu ukiambiwa leo hii 👽 Alien wanakuja dunia na kuwasiliana na watu unaamini?
Wote ni wale wale tu, sio Biblia wala Quran, ni upuuzi mtupuHawana tofauti na kile biblia imeeleza labda kama unasomewa biblia siku ya juma pili tu
Sijakataa, hayo ni mambo yenu nyie watu wa imani na ego zenu kwenye imani zenu , jifunze kuelimika bila mipakaishu sio jina linavyoandikwa/itwa. sio kila mungu ni Mungu. ndio maana kuna Mungu na miungu
niambie nilikoweka mipaka katika hayo tulioongea.Sijakataa, hayo ni mambo yenu nyie watu wa imani na ego zenu kwenye imani zenu , jifunze kuelimika bila mipaka
📌“Wakawa baadhi yao wamesilimu,wakawa ndugu zetu ktk imani majini kwa sababu walisilimu”
Yumkini ndiyo maana husikika baadhi yao huishi na majini wengine kuyafuga kabisa kama mbuzi