Ila mkuu ukiambiwa leo hii 👽 Alien wanakuja dunia na kuwasiliana na watu unaamini?Kwamba anasema majini wenyewe walimuita mtume wakutane ili aje awasomee Quran ili wasilimu?
Ila kobazi bana, inahitaji kweli ujitoe ufahamu wa Akili ndo uyaelewe hayo mambo
Itakuwa kiengereza kinakupiga chenga au una ajenda zako nyengine . Sikiliza bila jaziba. huko China mbona kuna waislamu wengi tu majimbo tofauti. Hilo jimbo ni watu wa uighur wanaotaka kujitenga . Ni propaganda za siasa tu hapo.
View: https://www.youtube.com/watch?v=lfzeGMg0Sc4
😁😁
Waendelee kudanganya watoto na vilaza wenzao
Kwani wapi nimekana , mbona unahamisha magoli ??kwa hiyo unakana uwepo wa mateso kwa uighur muslims huko china? ...
HIYO NI SEHEMU YA AGANO LA KALE!Tofautisha kati ya story na maandiko ya msahafu
"Majini wema"Kwa hiyo hao waliosilimu walibadilika kuwa binadamu?
Wewe ni mdini sana. Juzi umewatukana sana walokole. Ila Leo unajifanya ni Imani yao tu.Hawana tofauti na kile biblia imeeleza labda kama unasomewa biblia siku ya juma pili tu
Leo nimegundua wewe ni mdini. Sitakutilia maananiThibitisha China uislamu ni mental illness
Hapana mimi wala sina dini, sisali wala siamini mambo ya Mungu iwe kwa waislamu au kwa Wakristo, sasa wao kuamini majini, na walokole niliowazungumzia kule wanahusiana vipi?Wewe ni mdini sana. Juzi umewatukana sana walokole. Ila Leo unajifanya ni Imani yao tu.
majini ni malaika walionguka wakiongozwa na kiongozi wao LusifaKitu gani kimesababisha kuona majini ni mashetani kwenye imani yako wapi pametaja kama majini ni mashetani?
Sio mdini na wala sina dini nakula nguruwe nakufuga na bia nakunywa , hivyo mimi sio muislamu kwa namna yoyote ileLeo nimegundua wewe ni mdini. Sitakutilia maanani
Dini ya kiislam wanadai wapo majini wema na majini wabaya , ukristo unasemaje kuhusu hao malaika unaodai ndio majinimajini ni malaika walionguka wakiongozwa na kiongozi wao Lusifa
majini ni malaika walionguka wakiongozwa na kiongozi wao Lusifa