Mbeba Lawama
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 914
- 2,940
ujomban patam lakin hapana Urithi
Hapa umetumia makalio kujibu hoja badala ya kichwa.Gwajima amekuwaje Mbunge wa Kawe wakati ni Msukuma?
Sawa dada ila toka lini Mzanzibar haruhusiwi kugombea ubunge Bara? Mbali na kujua kwamba Mwinyi Mkuranga ni kwao?Hapa umetumia makalio kujibu hoja badala ya kichwa.
Mwanamke wa Znz atakunyima tu iwapo huja tahiriwa.Iv mbara anaweza kwenda kumilik pori huko Znz ? Maana nasikia hata mapenzi tu wadada wa znz wanatunyima wa bara
Ina onekana hujawah kufika znz kule wakikujua ni mbara upewi penziMwanamke wa Znz atakunyima tu iwapo huja tahiriwa.
Ndio maana wasukuma na wangoni na wanyakyusa wakipangiwa kazi kule wanakwenda na wake zao
Kwani Nchi yetu inaitwa Zanzibar au Pwani Mkuranga au ni Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ( Zanzibar ikiwa imemezwa ) ndani kama ni Kiashirio tosha Sisi ni Wamoja na Mtu ana Uhuru wa Kuishi popote na hata Kugombea Uongozi wowote pale akiamua?
Kwani yeye Hussein Mwinyi anasemaje?
Mbowe Mnyasa wa Malawi alikuwaje Mwenyekiti wa CHADEMANyerere aliuza utu na utaifa wetu kwa Wazanzibari. Leo mwanafunzi wa kizanzibari anapata mkopo wa elimu ya juu kutoka bodi ya mikopo ya elimu ya juu kwa kodi za Wabara...
Mbowe Mnyasa wa Malawi alikuwaje Mwenyekiti wa CHADEMA
Umeona eeTundu mbelgiji anautaka u rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania 🤣🤣🤣🤣🤣
Hussein ni Mndengereko wa Rufiji, si Mzanzibari....nani aliyekudanganya?Nyerere aliuza utu na utaifa wetu kwa Wazanzibari. Leo mwanafunzi wa kizanzibari anapata mkopo wa elimu ya juu kutoka bodi ya mikopo ya elimu ya juu kwa kodi za Wabara...
Halima ni Mwafrika Kusini (Mzulu) na ndiyo maana haogopi kwenda jela kwa sababu alizoea kupambana na wazungu wabaguzi kule kwao.Kwani halima alikuwa mbunge wa wapi ? Yeye ni kabila gani?
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Mbona hushangai Mama Samia ni Mzanzibari lakini ndo Rais wa Tanganyika?Nyerere aliuza utu na utaifa wetu kwa Wazanzibari. Leo mwanafunzi wa kizanzibari anapata mkopo wa elimu ya juu kutoka bodi ya mikopo ya elimu ya juu kwa kodi za Wabara.
Yote tisa kumi ni kivipi Mzanzibari anakuwa Mbunge sehemu ya Bara?
HUSSEIN MWINYI aliweza vipi kuwa MP na jimbo lake la uwakilishi kuwa Mkuranga sehemu ya Bara?