kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,991
- 17,887
Kwani wachaga na watu wa arusha wana tofaut ipi kubwa?yaani ni sawa na uhoji juu ya mzaramo kuwa mbunge kwa wakwere au wadengereko wakati ni jamii zinafanana
Lema alikuwaje Mbunge Arusha wakati yeye ni mchagga?