Kaplizer
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 726
- 597
Taarifa za uhakika nilizozipata toka ndani ya team Lowassa pamoja na chanzo cha karibu na kijana wake mtiifu Bashe zinaeleza kuwa vijana hao wameamua kufanya maamuzi magumu Kama alofanya EL ya kuhama CCM na kuingia UKAWA kupitia CHADEMA....
let's wait and see..
let's wait and see..