Hussein Bashe anatoa wapi jeuri aliyonayo?

Hussein Bashe anatoa wapi jeuri aliyonayo?

Huyu Bashe bado haamini kwamba yale mapesa yote aliyokuwa anasafirisha kuwapa wanachama wa CCM sehemu mbalimbali TZ kuhakikisha jamaa anateuliwa na CCM kuwa mgombea wa Urais kwamba eti hayakufanikisha. Inauma sana haswa inapotokea kuwa aliyeteuliwa na CCM hakutumia pesa yoyote!!!! Hata siku moja Bashe hawezi kukubaliana na yule ambaye hakutumia pesa lakini akambwaga yule jamaa aliyekuwa anajaza gari mapesa na kulindwa na wana usalama wa taifa na TAKUKURU ambao nao walipewa mgao. Hata hivyo inauma kweli hata ingekuwa mimi ningeumia na ningempinga huyu jamaa kwa nguvu zote.
Sawa anampinga je anatumia hoja gani kumpinga?? Zina mashiko ama hazina??? Shida yenu hamtaki kukosolewa mbona kwenye makinikia alimpongeza magufuli na akasema ni mzalendo au wwe ulitaka awe kma polepole kusifia kila kitu tu??
 
Sawa anampinga je anatumia hoja gani kumpinga?? Zina mashiko ama hazina??? Shida yenu hamtaki kukosolewa mbona kwenye makinikia alimpongeza magufuli na akasema ni mzalendo au wwe ulitaka awe kma polepole kusifia kila kitu tu??

Read between the lines sir
 
Huyu Bashe bado haamini kwamba yale mapesa yote aliyokuwa anasafirisha kuwapa wanachama wa CCM sehemu mbalimbali TZ kuhakikisha jamaa anateuliwa na CCM kuwa mgombea wa Urais kwamba eti hayakufanikisha. Inauma sana haswa inapotokea kuwa aliyeteuliwa na CCM hakutumia pesa yoyote!!!! Hata siku moja Bashe hawezi kukubaliana na yule ambaye hakutumia pesa lakini akambwaga yule jamaa aliyekuwa anajaza gari mapesa na kulindwa na wana usalama wa taifa na TAKUKURU ambao nao walipewa mgao. Hata hivyo inauma kweli hata ingekuwa mimi ningeumia na ningempinga huyu jamaa kwa nguvu zote.
Hahah wewe umenfurahisha sana.... Hivi bashe Peke ake ndie aliekua anamuunga mkono mbna wapo wengi tu nawapo bungeni bt wamekua ni wazee wakupiga debe tu nakusema ndio.... Hivi huwa unafwatilia hotuba na michango yke bungeni,.. Ushawai ona wapi anaongea pumba, anachoongea bungeni bashe kina kua na maslahi ya nchi, shida mkiona mbunge anaikosoa serikali eti amkubali magufuli... Is magufuli the first president in Tz and will he be the last,... For God sake yule nimbunge is not working for magufuli
 
Mwenye jibu atupie hapa tafadhali.

View attachment 533308

Matawi yote aliyoyazindua yeye hayana alama yoyote ya CCM bali ni TEAM BASHE...
bashe ni mjenzi wa makundi ya kulinda maslahi ya mabwanyenye. ccm sio mahali pake kwani ccm inajibainisha kama chama cha kulinda na kuendeleza maslahi ya umma. ndio maana kila wakati bashe anahangaika kua na watu wake. hoja za bashe kila mara zinakera wanaccm.
 
Bashe is right. Strong and objective to issues. He is firm and straight forward. Let him be....
 
Mwenye jibu atupie hapa tafadhali.

View attachment 533308

Matawi yote aliyoyazindua yeye hayana alama yoyote ya CCM bali ni TEAM BASHE...
Umesahau CHAGUA MAGUFULI
_20170701_105334.JPG
_20170701_105321.JPG
_20170701_105300.JPG
 
Wasemeni vibaya wabunge wrote Ila Lusinde mumuache.


Nikimuona anachangia hoja hata kama nilikuwa naangalia mov ya Mr.Bean nazima mpaka nimsikilize.


Maana huwa anaongeza siku yangu ya kuishi.
 
Huyu Bashe bado haamini kwamba yale mapesa yote aliyokuwa anasafirisha kuwapa wanachama wa CCM sehemu mbalimbali TZ kuhakikisha jamaa anateuliwa na CCM kuwa mgombea wa Urais kwamba eti hayakufanikisha. Inauma sana haswa inapotokea kuwa aliyeteuliwa na CCM hakutumia pesa yoyote!!!! Hata siku moja Bashe hawezi kukubaliana na yule ambaye hakutumia pesa lakini akambwaga yule jamaa aliyekuwa anajaza gari mapesa na kulindwa na wana usalama wa taifa na TAKUKURU ambao nao walipewa mgao. Hata hivyo inauma kweli hata ingekuwa mimi ningeumia na ningempinga huyu jamaa kwa nguvu zote.
Kumbe anampinga jamaa!kama hauko huru kimawazo ni vigumu sana kumuelewa Bashe.
 
Huyu Bashe bado haamini kwamba yale mapesa yote aliyokuwa anasafirisha kuwapa wanachama wa CCM sehemu mbalimbali TZ kuhakikisha jamaa anateuliwa na CCM kuwa mgombea wa Urais kwamba eti hayakufanikisha. Inauma sana haswa inapotokea kuwa aliyeteuliwa na CCM hakutumia pesa yoyote!!!! Hata siku moja Bashe hawezi kukubaliana na yule ambaye hakutumia pesa lakini akambwaga yule jamaa aliyekuwa anajaza gari mapesa na kulindwa na wana usalama wa taifa na TAKUKURU ambao nao walipewa mgao. Hata hivyo inauma kweli hata ingekuwa mimi ningeumia na ningempinga huyu jamaa kwa nguvu zote.
Sawa mama janeth naona data unazo kbsa
 
Back
Top Bottom