Hussein Bashe anatoa wapi jeuri aliyonayo?

Hussein Bashe anatoa wapi jeuri aliyonayo?

Huyu Bashe bado haamini kwamba yale mapesa yote aliyokuwa anasafirisha kuwapa wanachama wa CCM sehemu mbalimbali TZ kuhakikisha jamaa anateuliwa na CCM kuwa mgombea wa Urais kwamba eti hayakufanikisha. Inauma sana haswa inapotokea kuwa aliyeteuliwa na CCM hakutumia pesa yoyote!!!! Hata siku moja Bashe hawezi kukubaliana na yule ambaye hakutumia pesa lakini akambwaga yule jamaa aliyekuwa anajaza gari mapesa na kulindwa na wana usalama wa taifa na TAKUKURU ambao nao walipewa mgao. Hata hivyo inauma kweli hata ingekuwa mimi ningeumia na ningempinga huyu jamaa kwa nguvu zote.
Maneno kuntu
 
Umempigia majungu huko nje sasa umeamua kuyaleta humu. Kwa taarifa Hussein Bashe ndiye mbunge wa CCM pekee mwenye hoja za kusisimua na akiendelea hivyo 2020 ategemee kiikwaa uwaziri.

Uwaziri??? You should not only read along the lines of someones' presentation but most importantly plz read between the lines. Hussein Bashe bado ana uchungu na mapesa yaliyopotea bure kuwahonga wana CCM ili yule jamaa apete kwenye uteuzi wa ugombeaji wa urais. Mungu kamwe asingeruhusu na akafanya muugiza mkubwa jamaa akakatwa. Kama ambavyo yule jamaa hawezi kuwa Rais, hata Bashe hawezi kuwa waziri katika serikali makini inayosoma between the lines.
 
Huyu Bashe bado haamini kwamba yale mapesa yote aliyokuwa anasafirisha kuwapa wanachama wa CCM sehemu mbalimbali TZ kuhakikisha jamaa anateuliwa na CCM kuwa mgombea wa Urais kwamba eti hayakufanikisha. Inauma sana haswa inapotokea kuwa aliyeteuliwa na CCM hakutumia pesa yoyote!!!! Hata siku moja Bashe hawezi kukubaliana na yule ambaye hakutumia pesa lakini akambwaga yule jamaa aliyekuwa anajaza gari mapesa na kulindwa na wana usalama wa taifa na TAKUKURU ambao nao walipewa mgao. Hata hivyo inauma kweli hata ingekuwa mimi ningeumia na ningempinga huyu jamaa kwa nguvu zote.

Ukiambiwa utoe ushahidi wa unachokiongea utaweza? Au kuropoka ndio kipaji chako?
 
Mwenye jibu atupie hapa tafadhali.

View attachment 533308

Matawi yote aliyoyazindua yeye hayana alama yoyote ya CCM bali ni TEAM BASHE...

Hayana ' alama ' za CCM kwani ' logically ' tu hizo rangi hapo zinaashiria / zina akisi Chama gani? Hivi ni kwanini Mwenyezi Mungu Watu wengine aliwapa akili za ' Kutukuka ' lakini wengine kama Wewe akawanyimeni kabisa?
 
Hayana ' alama ' za CCM kwani ' logically ' tu hizo rangi hapo zinaashiria / zina akisi Chama gani? Hivi ni kwanini Mwenyezi Mungu Watu wengine aliwapa akili za ' Kutukuka ' lakini wengine kama Wewe akawanyimeni kabisa?
Yanga🙂
 
Back
Top Bottom