Observer2010
Senior Member
- Oct 29, 2010
- 195
- 44
Nimekuwa mfuatiliaji wa soka la kibongo na kimataifa kwa miaka ya kutosha, kuna wachezaji wengi sana wenye uwezo wa juu mno nimeshawaona, ila leo hii nimemkumbuka huyu holding midfielder, binafsi namuona ndiye bora zaidi kuwahi kumuona katika soka la kibongo, Hussein Aman Marsha. Natazama soka katika ligi bora zaidi duniani kwa sasa ila bado naamini huyu jamaa aliwazidi viwango wachezaji wengi mno katika hizo ligi.
Hivi ilishindikanaje watu kama hawa kucheza soka ligi bora kabisa na katika timu bora kabisa duniani ?
Hivi ilishindikanaje watu kama hawa kucheza soka ligi bora kabisa na katika timu bora kabisa duniani ?