sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,967
- 8,454
Hehehe!..nimesoma kwa tabu sana haya maandishi..
Pole x shemeji, uliondoka bila kuaga ndio mana yamekukuta haya... Kwa huruma ntamshauri swahiba uwe kidumu tu na si zaidi ya hapo!
Hehehe!..nimesoma kwa tabu sana haya maandishi..
Hehehe!
Pole x shemeji, uliondoka bila kuaga ndio mana yamekukuta haya... Kwa huruma ntamshauri swahiba uwe kidumu tu na si zaidi ya hapo!
Nimemwona ila si kosa lake....we si unamwona kajiunga lini?@ Erickb52 umeona kuna mtu hapo anakuita mwita25???
Majungu kama haya ya 52 hayanikwazi ! Kama nyie hata kwetu wapo wengi kuzidi kwenu ,
alafu ukisikia "hakuna masika yasiokua na Mbu" basi Mbu ndiyo kama nyie !
Mbu chezea Chandarua weye ?
Umechemsha!
Hawafanani hata robo, wewe ndo naona umeibuka kivingine, samahani kaka/dada usituharibie shughuli.
ahsante sana sisty, natoka na shemeji yako. Hakikisha watu hawafanyi fujo hapa. Halafu waambie mabaunsa wawatoe nje erick na mtei.
Luv u sist.
Hehehe,mie nikiwa mmoja wa ndugu wa kiken nimekubaliana na uhusiano huu,na huyo uporoto atajibeba kwan ni zamu ya husni kuenjoy na mwanaume wa ukweli,na tutahakikisha ndoa inafungwa husni na jg lol!
Hahahaaaa kwani hapa si tunataka haki ya Uporoto kutemwa iwepo....apate haki yake sio eti kisa ni Mfupi km andunje ndo anyanyapaliwe....Awapi tuko bankok huku hakuna airtel wala tigo ndio maana,alafu ww mbona unatia fitna sn kwa husni kuopoa mume mpya?acha hizo bana!mbona uporoto alipomtoke kabakabana hamkurema?
Hata mshipa haunigongi !
Wala issue yako haipelekei nikameza Panadol, kwani najua kwenye mikusanyiko ya watu hua hapakosekani Nzi! Japo wawili wa3 !
Lol, hajui ni hatari kwa afya ya mwili wake! Tutamkosa sasahivi..tehe. Hebu mtoe nje M'one manake anachafua hali ya hewa!Anadandia gari kwa mbele
Hehehe! Hulia mwenyewe walah tena...daaah!kwele leo nimeamini, chelea mwana.. Dah! hadi nausahau msemo wenyewe.
Hahahaaaa kwani hapa si tunataka haki ya Uporoto kutemwa iwepo....apate haki yake sio eti kisa ni Mfupi km andunje ndo anyanyapaliwe....
Km mnataka mleteni Kabakabana aseme km bado yuko na Uporoto nasi ndo tutakubali Husny na Judgement waendelee...
Na mimi na Amyner ndo tutakuwa wasimamizi....tutapendezaje....!
Teh nendeni tu ila humu sisi HATUTOKI hadi kieleweke....hata kuiba pete tutaibaahsante sana sisty, natoka na shemeji yako. Hakikisha watu hawafanyi fujo hapa. Halafu waambie mabaunsa wawatoe nje erick na mtei.
Luv u sist.
Lol, hajui ni hatari kwa afya ya mwili wake! Tutamkosa sasahivi..tehe. Hebu mtoe nje M'one manake anachafua hali ya hewa!
Hizi propasol zinazotolewa bila ruhusa kwanza kwa walezi hizi.... Kufanikiwa kwake ni kudogo saana....
Mie sijivungi
kama boda boda, nikiona hawaji nawasaka mwenyewe.
Huyu Ricky atamwagiwa tindikali muda si mrefu.
Lov u too sisy,ucjali hawa watatolewa nje soon maana naona hawana nia njema humu ndani,kapumzeken kwanza ukapozwe machungu ya uporoto lol!mpe hi shem wetu mpya jg!
Utajiju....Amyner huyuhuyu? Loh!