Husninyo Pokea Proposal

Husninyo Pokea Proposal

Hahahaaaa kwani hapa si tunataka haki ya Uporoto kutemwa iwepo....apate haki yake sio eti kisa ni Mfupi km andunje ndo anyanyapaliwe....
Km mnataka mleteni Kabakabana aseme km bado yuko na Uporoto nasi ndo tutakubali Husny na Judgement waendelee...
Na mimi na Amyner ndo tutakuwa wasimamizi....tutapendezaje....!

Hehehe!atajibeba hatuna mda wa kuweka vikao babu weé!alianza husni kamalizia ebo!tena cku hiyo wanakubaliana na kaby nilikuwepo atii!mwachen husni kapata mrefu
https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=232376&page=8&p=3474896&posted=1
 
Ina maana unataka kusema kuwa Mtei analeta fitina kwa sababu ya wivu?
Yan na yeye anamtaka Husny?
Mh hapo mi simooooo!

Erick huyo Husny ni kaz yangu ya nje toka long.
Huwa napga ndondo mara nyng so akiolewa na JG ctakuwa nampata kirahsi.
Wakat yupo na Uporoto alikuwa anapata mda wa kuja kupga outwork
 
Atakuja tu....ila acha tabia za kumisss wake za watu...
Utaumia....teh
Halafu kumbe unamzengea Husny ndo maana unapiga majungu wasioane?

ucjali Erick. Mi napga ndondo tu. hapa amyner naye nafanya mpango wa ndondo.
 
My waif,
Umefika humu saa ngapi? mi nipo nakusubiria utoke kanisani kumbe tayari ushatia maguu humu!

Am sorry darling,husni alinipigia kapata mume alafu kuna wenye vijiba vyoro wanataka kumtilia fitna humu,ok nambie mme wangu ungependa kula kitumbua au sambusa?
 
Erick huyo Husny ni kaz yangu ya nje toka long.
Huwa napga ndondo mara nyng so akiolewa na JG ctakuwa nampata kirahsi.
Wakat yupo na Uporoto alikuwa anapata mda wa kuja kupga outwork

Tehe tehe tehe....nimepata sababu ya kupiga majungu!
 
Mmh wewe..! Ulikuwa unafanya nini mke wa Rejao? Utatolewa macho, humjui Rejao ....
Hapana Katavi...
Familia yangu na ya Rejao ni friends sana...
Yan tuko pamoja sana ndo maana hata Rejao akinikuta na Canta hana shida na mimi nikimkuta na Amy sina tatizo...
So usijali.
Ila nawewe umo kwenye majungu naona....dah kazi kweli kweli
Teh
 
Am sorry darling,husni alinipigia kapata mume alafu kuna wenye vijiba vyoro wanataka kumtilia fitna humu,ok nambie mme wangu ungependa kula kitumbua au sambusa?
Kula kitumbua siyo option tena ma dia...Halafu nina hamu sanaaa
 
Back
Top Bottom