Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,106
Afu nyie komeni kumnyanyasa Erick....kwanini mwamendea vya watu lakini?
Amyner alnifuata mwenyewe
Afu nyie komeni kumnyanyasa Erick....kwanini mwamendea vya watu lakini?
Ujue sio powa kuchukuliana wake basi kama mchezo wenyewe ndio huu ole wake mtu amguse Sweetylady
Yanaenda kampala na nairobi, chezeiya mtei wewe!
Hata mfanyaje Amy haniachi na hana wazo la kuwa na mwanaume waruwaru kama wewe na Mtei....
Hebu nipisheni huko...mmejaa majungu tu.... mtasutwa wanaume suruari nyie lol hamna hata haya....waone kwanza
okey nimevunga!...kumbe ni siri eeeh?au ndo yakumchanganyia Amy?
'Nothing gonna change my love to Amy'
Good shem.
Sawa shemito wangu wa ukweli....Hawataweza amini hivyo!
Hahahaaaa ujidai.....kwanza nasikia mtei Original ni mtoto wa shangazi yake mke wa binamu yako kwa mke wa mdogo wako kwa mama mdogo wako kwa babu yako mdogo upande wa bibi mzaa babu kwa nyumba ndogo yake ya kwanza....
Lol huna chako hapo
Sawa shemito wangu wa ukweli....
Halafu nishaanza kummiss bibie humu...
Ngoja nim PM aje faster kuona Thread ilivyotambaaa km snake wa Snake park
Hivi hujui Amy hanitegemei kwa lolote???Sasa shem tunamsaidiaje braza...mana ana TOYO...sasa Amy niwakuachia miguu kwenye pikpik kweli?si ndio mwanzo wa kumtoa madoa mtt wa watu...au ndo true love!ktk shida na raha!
Sasa shem tunamsaidiaje braza...mana ana TOYO...sasa Amy niwakuachia miguu kwenye pikpik kweli?si ndio mwanzo wa kumtoa madoa mtt wa watu...au ndo true love!ktk shida na raha!
Sawa shemito wangu wa ukweli....
Halafu nishaanza kummiss bibie humu...
Ngoja nim PM aje faster kuona Thread ilivyotambaaa km snake wa Snake park
Hivi hujui Amy hanitegemei kwa lolote???
Mtoto anajitoshereza yule...
Nyumba ya ukweli....Gari la ukweli....
Utamdangana na nini????
Mi sinagana bajeti yoyote zaidi ya kuponda raha tu.....
anatumika asee...unapajua mbalamwezi??huku ndio pamekucha...Mtei kapakata mzigo...hana habari braza!...mm nachukua matukio tu hapa...walahii amyner anajua kupendeza asee...amegonga vitu vya woolworth!
Atafute wa kufanana naye. Yani Amy kanionesha makovu ya eksoz ya toyo had choz lkanitoka. Hapand tena hzo bodaboda coz tayari kafka kwangu.
Hahahaaaa kumbe unajienda eeh
Hivi ndoa yako na Kaby unataraji itadumu kwa muda gani?
ushakuwa muimba taarabu?
HahahaaaaHawa mahalusi washajichimbia gesti nini? mbona hawaonekani?
B52 tuma mjumbe ile gesti ya kikwapa gest hauz halaf utupatie ripoti
mwe mwe mwe...maskini!usiniambie yule mtt kaungua na lile bomba la kutolea moshi?ayaaa...kama namuona anavyoenjoy Opa yake!...from zero to hero.LOL
Kama ya Uporoto na Husny haikudumu je yako itadumu?what kind of question do you thnk that is?