Husninyo Pokea Proposal

Husninyo Pokea Proposal

Judgement na husny hongereni saaana! Katika mipango ya harusi msinisahau kwenye kamati!
Khaaa, ulikuwa wapi? Mie na wifi angu Canta tunacheza ngoma peke yetu toka asubuhi, haya kavae dera na wewe ukuje hapa!
 
Husny ni kaz yangu toka long tym

Sijatishika !
Sitishiki !
Sitotishika !
Na vijineno vya type hii , type ya Buguruni malapa. Ndo- kwanza unampandisha chati mtoto Husniy !
Mtoto mambo yote super !
Mtoto makila-kitu! Pole weee!
Utaunga coperwire malapa kwa kuzungusha majungu !
Mie na Husny haooo Mafya na Zanzibar one wik tour , kula mwezi wa asali .
 
Amyner please usisahau kuniletea ile series. Leo cna movie ya kuangalia jamani
 
Khaaa, ulikuwa wapi? Mie na wifi angu Canta tunacheza ngoma peke yetu toka asubuhi, haya kavae dera na wewe ukuje hapa!

Shost ngoja nikavae dera na skin tyt nahisi ngoma ya leo itakesha... Halafu SL hupatikani kwenye cmu mbona? Au nitty amekubana?
 
Sijatishika !
Sitishiki !
Sitotishika !
Na vijineno vya type hii , type ya Buguruni malapa. Ndo- kwanza unampandisha chati mtoto Husniy !
Mtoto mambo yote super !
Mtoto makila-kitu! Pole weee!
Utaunga coperwire malapa kwa kuzungusha majungu !
Mie na Husny haooo Mafya na Zanzibar one wik tour , kula mwezi wa asali .

Ni sehemu gan huko Mafia na znz ambako hajapelekwa? Samaki mzee hafundshwa kuogelea
 
Shost ngoja nikavae dera na skin tyt nahisi ngoma ya leo itakesha... Halafu SL hupatikani kwenye cmu mbona? Au nitty amekubana?

hata hvyo ulvyovaa wakat 2ko wote pia ni poa. Au ndo wataka uonekane kvngne?
 
Back
Top Bottom