Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,554
- 11,485
Amy yuko salama usijali shemeji eeehHakuna cha rafiki hapo,mtu mwenyewe kakaa macho kodo kuvizia wake za watu!ngoja nimdip Amy nijue usalama wake maana!
Amy yuko salama usijali shemeji eeehHakuna cha rafiki hapo,mtu mwenyewe kakaa macho kodo kuvizia wake za watu!ngoja nimdip Amy nijue usalama wake maana!
Hapa hata msute mnajisumbua....hata sishtuki....Yan kashapalia utafikiri ndio afisa habari wa ndoa yenu lol!amuache shem wangu asali kwa aman lol!akiendelea nitamkia na mavuvuzela tumsute lol!
Wifi ukipitiwa na kausingizi uniote lol.Ok,mme wangu,ngoja nimwachie my wii tupumzike kidogo!
Lol, umeamini kuwa umepinda?..Hahaaaahaaaaa
Very funny...hadi nacheka mwenyewe hapa
Hakuna cha rafiki hapo,mtu mwenyewe kakaa macho kodo kuvizia wake za watu!ngoja nimdip Amy nijue usalama wake maana!
maana nini we Canta? Ushachukua cover ya cmu yako?
Hahahaha! Jamani kodo kodo lol. Wifi ushausikia huo wimbo?
Tunamdediketia mtei one kwa siku ya leo.
Lol, umeamini kuwa umepinda?..
Teh teh nimekoma...ngoja niendelee kumtafuta kipenzi changu
Huamiki kbs,umekaa tayari kukwapua wake za watu,kava gan ww ctumii cm za kutumia makava.
Wifi ukipitiwa na kausingizi uniote lol.
Hapa hata msute mnajisumbua....hata sishtuki....
Kwanza Jg kanipa niwe MWENYEKITI WA KAMATI YA MAANDALIZI.....ntawalisha mihogo mkome
Afadhali lol!
Hahahaha! Jamani kodo kodo lol. Wifi ushausikia huo wimbo?
Tunamdediketia mtei one kwa siku ya leo.
Ndumilakuwili...Umeunga mkono proposal ya JG kwa Husny? Uporoto atakutoboa macho
Teh teh bado sijakufikia aisee
Hahahaha! Unamfaa haswa...Hehehe,my wii naujua hasa!kwa leo unamfaa na ni size yake ebo!
Mkiupata nwingine muongezeeni maana huyu jamaa mshakunaku sana...yan macho juu juu sanaHehehe,my wii naujua hasa!kwa leo unamfaa na ni size yake ebo!
Ndumilakuwili...
Naangalia upepo kwanza