Husninyo Pokea Proposal

Husninyo Pokea Proposal

My Amy hebu temana naye huyo. Kachanganyikiwa

Mtei mwenzio "Am already taken!" hapa akili yote imehama from dar to Arachuga!
Btw, zile series ntakupa si nlishasahau yaani.. Nawe hunikumbushi!
 
Mtei mwenzio "Am already taken!" hapa akili yote imehama from dar to Arachuga!
Btw, zile series ntakupa si nlishasahau yaani.. Nawe hunikumbushi!

Yani kukupa ruhusa ya kwenda hm tayari umehamisha akili? Itabd uhamie kwangu.
Kesho nktoka job ntazpitia hzo series
 
Mtei mwenzio "Am already taken!" hapa akili yote imehama from dar to Arachuga!
Btw, zile series ntakupa si nlishasahau yaani.. Nawe hunikumbushi!

Amyner,
naomba ujibu hayo mambo anayosema Mtei moja!
 
nilifikiri umenisemesha!...vip lakini uko pouwa...hainaga moriii,?kaka si bado yuko arusha?naomba tuwe wote kwenye party ya husny!

Shem langu mi mzima.. Kaka ako kanikataza kabisa kasema mazoea na wewe yaishe! Sijui umemwambia nini au kuna kitu mnanificha?
 
Mtei mwenzio "Am already taken!" hapa akili yote imehama from dar to Arachuga!
Btw, zile series ntakupa si nlishasahau yaani.. Nawe hunikumbushi!
Halafu Mtei anapenda kila msichana...ni kicheche hafai ila uzuri kila mtu anamtosa...
Lol hana bahati
 
Yes mylove....
Nilikumiss sana....
Twende tukale kwanza...

kaka ndo mana nakwambia zoezi linakushinda...ebu ona ndo unataka umpeleke mdada wa watu kula sa hii...si wajanja watakua wamesha mpa masoseji kibao...saa kumi?
 
kaka ndo mana nakwambia zoezi linakushinda...ebu ona ndo unataka umpeleke mdada wa watu kula sa hii...si wajanja watakua wamesha mpa masoseji kibao...saa kumi?

Mi tayari nshakula lunch na Amyner ktambo 2. Huyo ndo anakurupuka mda huu kwenda kumnunulia mtoto wa watu mihogo.
 
Shem langu mi mzima.. Kaka ako kanikataza kabisa kasema mazoea na wewe yaishe! Sijui umemwambia nini au kuna kitu mnanificha?

hamna kitu bana...kaka mwenyewe hajisomi...
 
nina bendi ya taarabu
natafuta wa kutunga mashairi

Sijatishika !
Sitishiki !
Sitotishika !
Na vijineno vya type hii , type ya Buguruni malapa. Ndo- kwanza unampandisha chati mtoto Husniy !
Mtoto mambo yote super !
Mtoto makila-kitu! Pole weee!
Utaunga coperwire malapa kwa kuzungusha majungu !
Mie na Husny haooo Mafya na Zanzibar one wik tour , kula mwezi wa asali .
 
Shem langu mi mzima.. Kaka ako kanikataza kabisa kasema mazoea na wewe yaishe! Sijui umemwambia nini au kuna kitu mnanificha?
Ndo maana Amy nakupenda sana bby....
I will always love u the way you do to me...
 
Nani alyenitosa? Amyner hajanitosa.. Nimeshampa lunch tayari na mida jion ntakuwa naye mbalamwezi

Halafu Mtei anapenda kila msichana...ni kicheche hafai ila uzuri kila mtu anamtosa...
Lol hana bahati
 
Mi tayari nshakula lunch na Amyner ktambo 2. Huyo ndo anakurupuka mda huu kwenda kumnunulia mtoto wa watu mihogo.

acha ale kuona..braza nae kazidi kuwa busy...ati lunch mida hii...mrembo kama Amy akae njaa mpaka sasa...
haya mtei na ww umemlisha nn bi dada wawa watu?hukawii kumnunulia mahindi yakuchemsha!
 
Back
Top Bottom