Husninyo Pokea Proposal

Husninyo Pokea Proposal

Bora wifi angu unisaidie kumwambia manake kazidi, anapenda kweli kumsimanga husband, atasababisha mwenzie ajing'ate wakati yupo ibadani khaaa, atasutwa kweli jamani...

Yan kashapalia utafikiri ndio afisa habari wa ndoa yenu lol!amuache shem wangu asali kwa aman lol!akiendelea nitamkia na mavuvuzela tumsute lol!
 
Wewe nawe utakuja kusutwa,ndoa za watu zinakuhusu nn wakati mpaka mda hujui mkeo yuko wapi?mtafute Amy bwana jpili hii umpeleke japo bichi!
Teh teh nimekoma...ngoja niendelee kumtafuta kipenzi changu
 
...hodi!
Jg your highness!
project unayotaka kuifanya kidogo inataka kufanana na yakwangu kwa Amy...so ntadesa kidogo...pokea kura yangu ya ndio your majesty!

Amy huyuhuyu ambaye niko naye hapa au mwngne? Ananiambia hatak ku log in mda huu.
 
Bora wifi angu unisaidie kumwambia manake kazidi, anapenda kweli kumsimanga husband, atasababisha mwenzie ajing'ate wakati yupo ibadani khaaa, atasutwa kweli jamani...
Na kwa mwanaume kusutwa inakaribia kuwa suna....
Lol
 
Wewe nawe unatafuta kuolewa maana unajidai bingwa wa wake za watu,c utafute wako?

Kaniambia hajaolewa. Hao wengne wanajpendekeza 2. Naweza nkamsajil huyuhuyu awe wa kudumu endapo nitahakikisha kuwa hajaolewa.
 
Nishamwambia ila naona hajanielewa, mwache alizwe ndio atajua maana ya rafiki mkia wa fisi....

Hakuna cha rafiki hapo,mtu mwenyewe kakaa macho kodo kuvizia wake za watu!ngoja nimdip Amy nijue usalama wake maana!
 
Hakuna cha rafiki hapo,mtu mwenyewe kakaa macho kodo kuvizia wake za watu!ngoja nimdip Amy nijue usalama wake maana!
Hahahaha! Jamani kodo kodo lol. Wifi ushausikia huo wimbo?


Tunamdediketia mtei one kwa siku ya leo.
 
Back
Top Bottom