Husna Saidi akiwa Mwenyekiti wa BAWACHA Taifa itapendeza sana

Unaonaje ukijikita kwenye mambo yenu ya huko Lumumba !

Kama kugawa fulana na kofia nyumba kwa nyumba na kupigia upatu kauli yenu ya maendeleo hayana vyama!

Chadema haihitaji ushauri wa waimba mapambio na matarumbeta ya MATAGA...
Siasa siyo uadui bwashee.

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu!
 
Mkuu naona siku izi umekua na mapenzi na chadema ,wenda mungu anataka kukufungua toka kwenye minyororo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…