Wapendwa maisha yanaenda na umri pia.
Humu sioni kama kunamtu wakuonekana nope.
Humu watu hawapo ambao wapo serious wengi ni wanamatani na pia wameshachoka vitu vingi sana.
Nimeweka moyo na muda humu nikaja kutambua hili .
Humu ni kuchart tu kama umeboreka ila serious relationship ukitaka katafute kwenye mikusanyiko ya watu kama concerts ,harusi,hotels,lodges,meetings amd conferences humo ndio utampata mtu kwa maana hata first impression ni mnaonana ila humu wako watu wamechoka kweli.
So kama upo serious humu labda uwe mwanaume ndio watu watakuja ila demu ni ngumu.
As for me this is my rule naomba nisipendwe humu kimapenzi naomba tuchart tu.
Tuwe friends humu and thts it.
Sitaki mapenzi muda unaenda nataka nikasake mume mwenyewe nimuone anione sio niote wa jamii forum nitawaste my time zaidii.
Nataka familia na maisha ya songe .
Nawatakia asubuhi njema i am very serious .
Nilivyoumbwa nakuwekwa kwa mama Mungu alishanipangia wangu na hayupo humu pleasee.
All i need is friends only kupendwa siitaji humu i think people mmeniunderstand.