Ukitaka mtu sahihi anza wewe kwanza kua sahihi
Ukitaka mtu serious anza kua serious kwanza
Bila kusahau kua kila utakapokua katka uhusiano jitasmin kwanza. Je kweli hiyo ndio nafasi yako? au unamshikia mwenye yake!
UTAJUAJE
Utayari wako wa kujifunza au kuongeza maarifa mapya kwa kile anacho jishughulisha nacho mwenza wako katka harakati zake za utafutaji. Kujifunza kile anacho fanya au anacho kipigania kwenye maisha Sio lazima ukijue kiundani lakini uwe na data ambazo ikifika kipindi akikwama mtu wa kwanza kumfikiria awe ni wewe. Si kwa sababu ya kuonganisha Vikojoleo vyenu


bali ahisi atapata cha ziada kwako kama msaada kwake katka jambo hilo.
Kuna vipindi kazi au biashara zinatuvuruga kiasi kwamba mapenzi yanakua si sehemu tena ya maisha yetu hata ile hamu pendwa inapotea kabisa HAPA NDIPO MAHUSIANO MENGI YANAVUNJIKA kwa maana ule muda aliokua anakupa hatokupa tena kama anaamini huna kitu cha kum inspire katika kile anachofanya