Unajua vijitu vifupi kabisa kama vizakayo vinashida wewe mwenyewe ukikaa namtu mahali huonekani hufikii wala hicho kiti licha uonekane kwenye meza ukiorder kitu unalia kwa chini kama mtoto kisa kila kiti na meza vimekupita hata viwe vya chini kiasi gani unastreess kazi unatafutia watu wanawake kwa maana unaishilia kuonekana haupo mtu unasema samahani dada naomba nionge nawewe anaangalia kila mahali aoni mtu anaishilia kuondoka utabakia hivyo tu nakimdomo kama cha mcwa wenzio wanaoa wewe upo tu unacheza nawatoto wao hawakuoni hata wewe mkubwa pimbiii wewe sura mbaya unatishia hadi nyau paka mbwa na wanyama wote waporini.
Hebu ongeza urefu kidogo uonekane mwenzio zakayo alipanda juu ya mti yesu amuone natofauti yake na wewe wewe ni lofa yeye anazo wewe mpaka mlo unagongea kwa waliooa.