Humu naomba kitu kimoja

Humu naomba kitu kimoja

Nataka ufurahie maisha yako usiwaze sana maisha ya ndoa kuna jirani yangu kaolewa mwezi tu. Akaachika hivi sasa anazeeka alipata mtoto mmoja ndio tunacheza nae ana miaka 20+ mama yake nadhani 50+. Sio lazima kuolewa na mwanaume unae mpenda ila olewa na mwanaume mtakae endana kimaisha na kuyafurahia. Nakutakia furaha na maisha mema


Ndukiiiii🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
Asantee mwaya ushauri mwingine wenye kunipa moyo ila sijakerwa sana nilichokerwa nacho ni hiki hapa unafukuziwa na invisible people napenda nimuone mtu.
 
Asantee mwaya ushauri mwingine wenye kunipa moyo ila sijakerwa sana nilichokerwa nacho ni hiki hapa unafukuziwa na invisible people napenda nimuone mtu.
Njia rahisi ya kumuona mtu tafuta namba ambayo utaitumia kwa WhatsApp kwa ajili hii tu. Kuonana na mwenza wa mtandaoni ukiwa na WhatsApp yake itakuwa rahisi kuona japo picha yake. Kumbuka usi fall in love kwa maandishi ya mtu ila ukishaonana nae. Una angalia jinsi utu na anavyo kujali. Kumbuka simba hata awe na njaa vipi lakini hatokula mzoga.( hata ukitaka mwenza lakini usijirahisishe sana)


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Njia rahisi ya kumuona mtu tafuta namba ambayo utaitumia kwa WhatsApp kwa ajili hii tu. Kuonana na mwenza wa mtandaoni ukiwa na WhatsApp yake itakuwa rahisi kuona japo picha yake. Kumbuka usi fall in love kwa maandishi ya mtu ila ukishaonana nae. Una angalia jinsi utu na anavyo kujali. Kumbuka simba hata awe na njaa vipi lakini hatokula mzoga.( hata ukitaka mwenza lakini usijirahisishe sana)


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
Sitaki tena nataka mtu ninaye mwona sio invisible people.
 
Asantee mwaya ushauri mwingine wenye kunipa moyo ila sijakerwa sana nilichokerwa nacho ni hiki hapa unafukuziwa na invisible people napenda nimuone mtu.
Sasa kumuona tu mtu bado haikuhakikishii ndoa, mtu anaweza kulipa hadi mahari na akaingia mitini, muombe Mungu tu yaishe, jitambue pia.
 
Nataka hivi naonana naye kwenye whtsupp halafu ananiambia uko maeneo gani unasema anakufuata outings za hapa na pale na ndio unaanza kumzoea sipendi upo dar eti miezi miwili unaachart tu.
Nikero mapenzi nikuonana tu.
Nakufurahia kabisa best.
 
unamaanisha humu ni.midume suruali..longo longo mingi na haijiamini??
Ulitaka wa fasta fasta jumlisha kuzini ...zini...??
 
Unajua vijitu vifupi kabisa kama vizakayo vinashida wewe mwenyewe ukikaa namtu mahali huonekani hufikii wala hicho kiti licha uonekane kwenye meza ukiorder kitu unalia kwa chini kama mtoto kisa kila kiti na meza vimekupita hata viwe vya chini kiasi gani unastreess kazi unatafutia watu wanawake kwa maana unaishilia kuonekana haupo mtu unasema samahani dada naomba nionge nawewe anaangalia kila mahali aoni mtu anaishilia kuondoka utabakia hivyo tu nakimdomo kama cha mcwa wenzio wanaoa wewe upo tu unacheza nawatoto wao hawakuoni hata wewe mkubwa pimbiii wewe sura mbaya unatishia hadi nyau paka mbwa na wanyama wote waporini.
Hebu ongeza urefu kidogo uonekane mwenzio zakayo alipanda juu ya mti yesu amuone natofauti yake na wewe wewe ni lofa yeye anazo wewe mpaka mlo unagongea kwa waliooa.
he! yashakuwa hayo tena..??
 
Dah acha tu wakanisani wao wamerudi kundini sio hao nipo serious no kuchekea sana .
Siwezi tena kuwa na mtu humu hata iweje dah watu wanaishilia tu kukutesa
Badili ID iwe Katoto Kabaya utapata watu walio serious kweli ila ID ya Katoto Kazuri watajitokeza waosha RUNGU tu.
 
Wenye visu vyao washafanya yao tayari...
Pole katotoo
 
Back
Top Bottom