Ungejifunza kujipenda kujiheshim na kujithamini wewe mwenyewe kwanza wanasema mabadiliko huanza na wewe
Humu wato wapo serious sana, sjui umeshaona wangapi had ukaconclude hivo, una msongo wa mawazo, jaribu kupumzika vizur na fanya maisha yako utapata riziki yako
Aisee kujiheshimu kwa ajili ya nani sina msogo wa mawazo ni kwamba huku watu hawapo serious unaongea hivyo kwa maana hujui ninayoyapitia kabisaa mwanaume ukimtaka bila kujisumbua hotels wapo tena sio wa tanzania watakupenda kukuheshimu nakukujali .
Humu kuna watu wenye stress malaya anayejiuza ameheshimika kaolewa juzi.
Kujiheshimu nimeshafanyga kwa muda i have to go out and meet fresh and seeing people hivi utajisikiaje unamuona mtu kwa macho unamtadhimini.
Unampima mnaexchange number mkitaka kuonana anakuona mkitaka chochote mnaweza kupata mwanaume yupo serious napia anaonyesha nia if kama hamuoani anakuambia tu.
Mnaenjoy kama anakuoa anasema tu. Maisha ni kuonana humu ni waongo nakuja next week mara nimepata dharura ni hataki tu anaogopa kumjia mtu hajawahi kumuona .
Sasa utawait hadi lini???
Maisha sio kuwait maisha nikutoka nakusaka kile kitu unachokitaka.
Sio walazimisha nenda taratibu tu utapata lile chaguo lako humu unaonekana unadanga tu.
Ndio shida ila ni bora ukasake uko uambiwe hivyo ila upo tayari kwenye ndoa nirahisi kuolewa na mtu umemuona kushinda kukaa na mtu hunamuona tena anazingua hiki kitu nimechokanjoo tuyajengee kumbe ujinga tu .
Nitumie picha nitumie hiki kile unapoteza muda mwisho wa siku haji.
Kumbe alitaka kampani tu.
Toka nje kabisa nenda katafute Mume yuko somewhere not here .
I think nimeshaongea vyakutosha.