Humu naomba kitu kimoja

Humu naomba kitu kimoja

Pole, fanya maisha yako tu, uliyepangiwa na mungu atakuja kwa wakati wake, kwa namna isiyotarajiwa. Mwenza wa maisha hatafutwi tu kama bidhaa sokoni, labda tu mungu akupe kwa staili hiyo. Muombe Mungu na ujipe muda .
 
Hayupo humu ? Ni vema kumfuata huko aliko asee, usichelewe kwasabu wana tabia ya kuhama Hama
 
Katoto kazuri,unajua mimi nilikumaindi sana,nilikuja pm lakini ukazingua ilikua nibebe goma kabisa hilo
ila mikogo na maringo yako ndo imenizingua,kama vipi naja tena pm.
 
Dah acha tu wakanisani wao wamerudi kundini sio hao nipo serious no kuchekea sana .
Siwezi tena kuwa na mtu humu hata iweje dah watu wanaishilia tu kukutesa
Dah
Hujakufa kweli,maana mpaka kucheka unapunguza!!!
Sunami mbaya sana
Ila,usipende mambo ya ajabu ajabu tena
 
Unatafta mume!
njoo pm.unipe wasifu wako.

usidharau hii coment.
 
mada zako tu zenyewe zinafanyaga watu wakuone mpitaji. huenda wewe pia tunakuona hauko sirias
 
Ungejifunza kujipenda kujiheshim na kujithamini wewe mwenyewe kwanza wanasema mabadiliko huanza na wewe

Humu wato wapo serious sana, sjui umeshaona wangapi had ukaconclude hivo, una msongo wa mawazo, jaribu kupumzika vizur na fanya maisha yako utapata riziki yako
mada zake tu zenyewe zinafanyaga tumuone hayuko sirias
 
Kuna mtu alinipa advise siku nyingi nikampuuzia alisema jamii forum is the place where you can reduce stress but not a place for finding someone serious so becarefull
Sasa leo unasoma hapa nimekuja kuona kweli nasitakaa kupenda mtu humu tena i am serious .
Huwezi chart na mtu miezi miwili hamjaonana halafu kila siku sababu na huwezi ongeana mtu kwa simu na hamjaonana woi
Hakika ya mwenye kusubir yuko pamoja na Mungu kuwa na subra utampata tu uliondikiwa na Mungu na mbaya huwezi jua utampatia wapi humu kila mt atakueleza kuwa amekutana na mwenzeke sehemu tafauti na mazingira tafauti hivyo kuwa na subr dada wakwako yuko .njiani
 
Uzi bila picha haunogi
tuwekee picha yako kwanza tuone kama unayoyasema yanafanana na wewe
 
Wanawake wa kiafrika sijui kwanini wanapenda kuingia kwenye serious relationship wakati kule ulaya kuna hata friend of benefit. Kuna wakati wanaume hatutaki kuowa huwa tunataka kupunguza stress tu. Unakuta hela hatupati halafu kuna mwanamke kilaza anataka kukupelekesha kwa kuomba hela kila siku. Aahh acha tuwagegede tu


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
Unatakajeee mimi muda unaenda???
 
Back
Top Bottom