Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,103
- 136,763
Komandoo mwenyewe muoga muoga tu hana maana
Acha hizo Muree.
Komandoo anatisha....
Komandoo mwenyewe muoga muoga tu hana maana
Wapendwa maisha yanaenda na umri pia.
Humu sioni kama kunamtu wakuonekana nope.
Humu watu hawapo ambao wapo serious wengi ni wanamatani na pia wameshachoka vitu vingi sana.
Nimeweka moyo na muda humu nikaja kutambua hili .
Humu ni kuchart tu kama umeboreka ila serious relationship ukitaka katafute kwenye mikusanyiko ya watu kama concerts ,harusi,hotels,lodges,meetings amd conferences humo ndio utampata mtu kwa maana hata first impression ni mnaonana ila humu wako watu wamechoka kweli.
So kama upo serious humu labda uwe mwanaume ndio watu watakuja ila demu ni ngumu.
As for me this is my rule naomba nisipendwe humu kimapenzi naomba tuchart tu.
Tuwe friends humu and thts it.
Sitaki mapenzi muda unaenda nataka nikasake mume mwenyewe nimuone anione sio niote wa jamii forum nitawaste my time zaidii.
Nataka familia na maisha ya songe .
Nawatakia asubuhi njema i am very serious .
Nilivyoumbwa nakuwekwa kwa mama Mungu alishanipangia wangu na hayupo humu pleasee.
All i need is friends only kupendwa siitaji humu i think people mmeniunderstand.
Eh General Mangiikabisa katamka hivyo??
huyu huyu General?
Ipi hiyoBinti wa Kimasai, ile namba ya tigo bado unayo??
😅😅😅😅😅😅Badili ID iwe Katoto Kabaya utapata watu walio serious kweli ila ID ya Katoto Kazuri watajitokeza waosha RUNGU tu.
Tembelea lodges utawapata kwa haraka snaWapendwa maisha yanaenda na umri pia.
Humu sioni kama kunamtu wakuonekana nope.
Humu watu hawapo ambao wapo serious wengi ni wanamatani na pia wameshachoka vitu vingi sana.
Nimeweka moyo na muda humu nikaja kutambua hili .
Humu ni kuchart tu kama umeboreka ila serious relationship ukitaka katafute kwenye mikusanyiko ya watu kama concerts ,harusi,hotels,lodges,meetings amd conferences humo ndio utampata mtu kwa maana hata first impression ni mnaonana ila humu wako watu wamechoka kweli.
So kama upo serious humu labda uwe mwanaume ndio watu watakuja ila demu ni ngumu.
As for me this is my rule naomba nisipendwe humu kimapenzi naomba tuchart tu.
Tuwe friends humu and thts it.
Sitaki mapenzi muda unaenda nataka nikasake mume mwenyewe nimuone anione sio niote wa jamii forum nitawaste my time zaidii.
Nataka familia na maisha ya songe .
Nawatakia asubuhi njema i am very serious .
Nilivyoumbwa nakuwekwa kwa mama Mungu alishanipangia wangu na hayupo humu pleasee.
All i need is friends only kupendwa siitaji humu i think people mmeniunderstand.
Sio lodges hotels maharusi ndio powaTembelea lodges utawapata kwa haraka sna



Ameliaahau Hilo.Ndo sisi sisi tupo huko kwenye maconseti , lodge sijui harusini ndo sisi sisi nakuambia changisha karata zako vizuri tuu mbona nipoo
HahaaaUnakuja juu bidada Kuna jamaa HR666, anaweza kukusaidia ishu yako SI wengine tumepinda Zaid yake tumepinda kama ile dawa ya mbu ya kuchoma kwa mfano hapa tu yenyewe bila picha yako hatuamini chochote.tuekee picha
hahaa mtu kesha pewa za uso huko atokakoHahahahahaha ukiskia yalaaahhhh
hahaa ..mimi mwenyewe nimestaajabu sana'' kweli kwenye msafara wa mamba ...............Kwani bidada uli install JF ukijua umu kuna wachumba![]()