Humu naomba kitu kimoja

Humu naomba kitu kimoja

Upo kama mimi sema tunatofautiana me na ke tu.
Wapendwa maisha yanaenda na umri pia.
Humu sioni kama kunamtu wakuonekana nope.
Humu watu hawapo ambao wapo serious wengi ni wanamatani na pia wameshachoka vitu vingi sana.
Nimeweka moyo na muda humu nikaja kutambua hili .
Humu ni kuchart tu kama umeboreka ila serious relationship ukitaka katafute kwenye mikusanyiko ya watu kama concerts ,harusi,hotels,lodges,meetings amd conferences humo ndio utampata mtu kwa maana hata first impression ni mnaonana ila humu wako watu wamechoka kweli.
So kama upo serious humu labda uwe mwanaume ndio watu watakuja ila demu ni ngumu.
As for me this is my rule naomba nisipendwe humu kimapenzi naomba tuchart tu.
Tuwe friends humu and thts it.
Sitaki mapenzi muda unaenda nataka nikasake mume mwenyewe nimuone anione sio niote wa jamii forum nitawaste my time zaidii.
Nataka familia na maisha ya songe .
Nawatakia asubuhi njema i am very serious .
Nilivyoumbwa nakuwekwa kwa mama Mungu alishanipangia wangu na hayupo humu pleasee.
All i need is friends only kupendwa siitaji humu i think people mmeniunderstand.
 
Wapendwa maisha yanaenda na umri pia.
Humu sioni kama kunamtu wakuonekana nope.
Humu watu hawapo ambao wapo serious wengi ni wanamatani na pia wameshachoka vitu vingi sana.
Nimeweka moyo na muda humu nikaja kutambua hili .
Humu ni kuchart tu kama umeboreka ila serious relationship ukitaka katafute kwenye mikusanyiko ya watu kama concerts ,harusi,hotels,lodges,meetings amd conferences humo ndio utampata mtu kwa maana hata first impression ni mnaonana ila humu wako watu wamechoka kweli.
So kama upo serious humu labda uwe mwanaume ndio watu watakuja ila demu ni ngumu.
As for me this is my rule naomba nisipendwe humu kimapenzi naomba tuchart tu.
Tuwe friends humu and thts it.
Sitaki mapenzi muda unaenda nataka nikasake mume mwenyewe nimuone anione sio niote wa jamii forum nitawaste my time zaidii.
Nataka familia na maisha ya songe .
Nawatakia asubuhi njema i am very serious .
Nilivyoumbwa nakuwekwa kwa mama Mungu alishanipangia wangu na hayupo humu pleasee.
All i need is friends only kupendwa siitaji humu i think people mmeniunderstand.
Tembelea lodges utawapata kwa haraka sna
 
desperate woman daaah pole katoto, stress mbaya sana

all the best
 
Utafanikisha tu mkuu,unatakiwa uwe mchangamfu na mtu mnayekutana naye jaribu mazungumzo yako ya-focus future.Miaka inasogea hairudi nyuma,miili na viungo pia vinachoka ni bora kuanza mchakato mapema.
 
Ndo sisi sisi tupo huko kwenye maconseti , lodge sijui harusini ndo sisi sisi nakuambia changisha karata zako vizuri tuu mbona nipoo
Ameliaahau Hilo.
Utakimbia wanaume wa jf unakutana nao huko uendako

Jf sio localized enclave kwamba watu wake utawakwepa
 
Unakuja juu bidada Kuna jamaa HR666, anaweza kukusaidia ishu yako SI wengine tumepinda Zaid yake tumepinda kama ile dawa ya mbu ya kuchoma kwa mfano hapa tu yenyewe bila picha yako hatuamini chochote.tuekee picha
Hahaaa
 
hivi kumbe humu kuna watu huwa mnakuja serious kutafuta wa penzi ".. Aisee kweli mnahamu ya kupatwa kwa stress
 
Back
Top Bottom