Humu kuna wanaume serious kweli

Humu kuna wanaume serious kweli

Hilo tangazo mbona sikuliona kipenzi changu jamani!

Vigezo vilikuaje nisije nikaanza kuita kipenzi kumbe sijakidhi vigezo!
 
Ni mwaka jana niliandika uzi wa kutafuta Mme. Wanaopatikana ni waume za watu na vijana wasio serious yaani play boy. Wanawake wenzangu mlifanikiwa kupata wenza au hili limenikuta Mimi tu
Hakuna aloserious humu wengi wanapenda mtelezo

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Ni mwaka jana niliandika uzi wa kutafuta Mme. Wanaopatikana ni waume za watu na vijana wasio serious yaani play boy. Wanawake wenzangu mlifanikiwa kupata wenza au hili limenikuta Mimi tu
Ha ha ha ha ikawaje baada ya kuambulia playboys hebu toa mrejesho vizuri
 
Ni mwaka jana niliandika uzi wa kutafuta Mme. Wanaopatikana ni waume za watu na vijana wasio serious yaani play boy. Wanawake wenzangu mlifanikiwa kupata wenza au hili limenikuta Mimi tu
Wanaume wazuri bado wapo mamii,
Jamii forum apa apa wapo,walio single wenye mapenzi ya dhati kabisa.

Unaweza ukakutana na mkaka adi ukajiuliza alikuwepo wapi siku zote.
Usikate tamaa
 
Wanaume wazuri bado wapo mamii,
Jamii forum apa apa wapo,walio single wenye mapenzi ya dhati kabisa.

Unaweza ukakutana na mkaka adi ukajiuliza alikuwepo wapi siku zote.
Usikate tamaa
Umemaanisha Mimi..!!
Yaani asiombe akutane na Mimi hatojutia kamwe.

#YNWA
 
Back
Top Bottom