Yesu wangu... Hivi siku hizi kuna madalali hadi wa ndoa??
msichana wife material anatafutwa.
sifa zinazotakiwa:
age not above 35
education....not below form iv
religion..any but christian will be preferred
awe ready for marriage a year later.
awe tayari kuishi na mme busy.....siku zingine atalazimika kulala pekee mme akiwa kazini
asiwe mtu wa kupenda ajira saana....i mean awe na akili ya enterpreneurship
awe outing going and social.......i mean asiwe religous sana.
awe mrembo angalau basi ukitoka naye watu wakodoe mimacho.....iyo ndio raha bwanaa
sifa za anaetafuta
age below 35
education...... degree in medicine....kagraduate mwaka jana.....anatibu humu humu jijini
religion.......christian
anapenda mama atakae weza kulea watoto vizuri , watoto wakuwa madaktari.
yupo busy some how kwa hiyo kaa ukijua.
karibuni......inbox kwa maelezo mengine.
mm dalali tu lkn.
Siyo demu sema msichana
Bongo tambarare walah. .
Mambo yanarahisishwa kila siku tushindwe wenyewe
mi ngoja nichukue namba ya dalali nikiwa na shida nimcheki....
Hata ya form 4 jamani vibaya.Kha!sina sifa hata moja...
Hahahahahahaaha jamani jeiefu kuna mengi lol.Sifa za mtafuta ni vyema ange'weka size ya kigegedeo chake kwa urefu na upana. Hawa mabinti siku hizi hawaitaji sifa hizo alizo zitaja anazo. Kwao imekuwa ni sifa mbadala. Aweke bila shaka kabisa atafanikiwa kwa urahisi au kuto fanikiwa kabisa.
Mambo yanarahisishwa kila siku tushindwe wenyewe
mi ngoja nichukue namba ya dalali nikiwa na shida nimcheki....
Hebu nitumie na mie hizo namba, soon nitamhitaji!!
Hata kwa ndumba hyo hapana.....vp ostadh juma..! sifa unazo kweli? hahaaa!!
hiyo cv haipo kabisa!
Hata kwa ndumba hyo hapana.....