Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 6,843
- 12,612
Hamjamboni wanajukwaa la Love Connect? Hope mnaendelea vizuri na majukumu yenu.Moja kwa Moja a ha niende kwenye mada husika.
Mimi Ni mkenya na ninaishi jijini Nakuru sehemu nakofanyia kazi.Kiukweli nimetamani Sana siku nyingi kuoa mwanamke wa Kitanzania na ndo maana leo nimekuja humu jukwaani kujaribu Bahati.Zifuatazo Ni sifa zangu;
Age: 27yrs
Tribe: Luhya
Education: Barchelor Degree in Journalism & Mass Communication
Occupation: Standard Media Group( Blogger & news reporter),pia Nina biashara kadhaa zinazoniingizia kipato
Salary: 42,000 Ksh per month
Height: 6.57 feet
Complexion: Black( weusi wa wastani)
Hobbies: Reading novels & playing football
Religion: Christian
HIV status: -Ve
Ad.traits: Iam an alpha male with an alpha mindset and also a semi- introvert ( sio muongeaji Sana)
Nahitaji mwanamke mwenye sifa zifuatazo;
Umri:24- 26 yrs
Elimu: kuanzia form 6 kwenda juu
Rangi: mweupe wa wastani
Dini: mkiristo
Kabila: mchaga au mmeru
Kazi: sio lazima awe na kazi ila awe na uwezo wa kuendesha biashara( Niko tayari kumpa mtaji wa kufungua biashara)
Kimo/ urefu: futi 5.8- 6.5
Hali ya HIV: - Ve
Sifa za ziada: Awe na hofu ya Mungu,muaminifu na mwenye upendo wa dhati.Pia asiwe na mtoto.
Nipo tayari kusafiri Hadi Tanzania kukutana na kufanya maongezi na mwanamke atakayejitokeza na kukidhi vigezo nilivyotaja hapo juu.Nitagharamia kila kitu.
Nipo serious Sana nahitaji mwanamke wa Kitanzania na yeyote atakaye kuwa interested na Mimi Basi aniPM ama anitafute kwa e- mail address yangu ifuatayo
@raymanu254@gmail.com
Mimi Ni mkenya na ninaishi jijini Nakuru sehemu nakofanyia kazi.Kiukweli nimetamani Sana siku nyingi kuoa mwanamke wa Kitanzania na ndo maana leo nimekuja humu jukwaani kujaribu Bahati.Zifuatazo Ni sifa zangu;
Age: 27yrs
Tribe: Luhya
Education: Barchelor Degree in Journalism & Mass Communication
Occupation: Standard Media Group( Blogger & news reporter),pia Nina biashara kadhaa zinazoniingizia kipato
Salary: 42,000 Ksh per month
Height: 6.57 feet
Complexion: Black( weusi wa wastani)
Hobbies: Reading novels & playing football
Religion: Christian
HIV status: -Ve
Ad.traits: Iam an alpha male with an alpha mindset and also a semi- introvert ( sio muongeaji Sana)
Nahitaji mwanamke mwenye sifa zifuatazo;
Umri:24- 26 yrs
Elimu: kuanzia form 6 kwenda juu
Rangi: mweupe wa wastani
Dini: mkiristo
Kabila: mchaga au mmeru
Kazi: sio lazima awe na kazi ila awe na uwezo wa kuendesha biashara( Niko tayari kumpa mtaji wa kufungua biashara)
Kimo/ urefu: futi 5.8- 6.5
Hali ya HIV: - Ve
Sifa za ziada: Awe na hofu ya Mungu,muaminifu na mwenye upendo wa dhati.Pia asiwe na mtoto.
Nipo tayari kusafiri Hadi Tanzania kukutana na kufanya maongezi na mwanamke atakayejitokeza na kukidhi vigezo nilivyotaja hapo juu.Nitagharamia kila kitu.
Nipo serious Sana nahitaji mwanamke wa Kitanzania na yeyote atakaye kuwa interested na Mimi Basi aniPM ama anitafute kwa e- mail address yangu ifuatayo
@raymanu254@gmail.com