Humu kuna msichana wife material?

Humu kuna msichana wife material?

mafurikoyamoto

Senior Member
Joined
Sep 13, 2013
Posts
160
Reaction score
53
msichana wife material anatafutwa.

sifa zinazotakiwa:

Age not above 35
Education....not below form iv
Religion..any but christian will be preferred
Awe ready for marriage a year later.
Awe tayari kuishi na mme busy.....siku zingine atalazimika kulala pekee mme akiwa kazini
Asiwe mtu wa kupenda ajira saana....i mean awe na akili ya enterpreneurship

Awe outing going and social.......i mean asiwe religous sana.

Awe mrembo angalau basi ukitoka naye watu wakodoe mimacho.....iyo ndio raha bwanaa

Sifa za anaetafuta

Age below 35
Education...... degree in medicine....kagraduate mwaka jana.....anatibu humu humu jijini
Religion.......christian
Anapenda mama atakae weza kulea watoto vizuri , watoto wakuwa madaktari.
Yupo busy some how kwa hiyo kaa ukijua.


Karibuni......inbox kwa maelezo mengine.


Mimi dalali tu lakini.
 
Yesu wangu... Hivi siku hizi kuna madalali hadi wa ndoa??
 
Kaaaaa dalali jina lako Latisha....
 
Kweli wewe dalali,maana hiyo heading tu,"Demu wife material"!!
 
Asipende ajira sana!!!!kazi kwelii!!!
 
Dah! Hii sasa noma. Hivi hadi leo kuna ukuwadi kumbe. Nilidhani ni ule usemi wa KAZI NI KWAKO
 
msichana wife material anatafutwa.

sifa zinazotakiwa:
age not above 35
education....not below form iv
religion..any but christian will be preferred
awe ready for marriage a year later.
awe tayari kuishi na mme busy.....siku zingine atalazimika kulala pekee mme akiwa kazini
asiwe mtu wa kupenda ajira saana....i mean awe na akili ya enterpreneurship

awe outing going and social.......i mean asiwe religous sana.

awe mrembo angalau basi ukitoka naye watu wakodoe mimacho.....iyo ndio raha bwanaa

sifa za anaetafuta

age below 35
education...... degree in medicine....kagraduate mwaka jana.....anatibu humu humu jijini
religion.......christian
anapenda mama atakae weza kulea watoto vizuri , watoto wakuwa madaktari.
yupo busy some how kwa hiyo kaa ukijua.


karibuni......inbox kwa maelezo mengine.


mm dalali tu lkn.






Lol, nimekosa tenda, am above age limit
 
Sifa za mtafuta ni vyema ange'weka size ya kigegedeo chake kwa urefu na upana. Hawa mabinti siku hizi hawaitaji sifa hizo alizo zitaja anazo. Kwao imekuwa ni sifa mbadala. Aweke bila shaka kabisa atafanikiwa kwa urahisi au kuto fanikiwa kabisa.
 
Back
Top Bottom