Humprey Polepole, yupo Channel ten sasa hivi

Humprey Polepole, yupo Channel ten sasa hivi

Huntsman

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2012
Posts
648
Reaction score
619
Wanabodi wale mlioko kwenye TV angalieni channel ten now Polepole anawachambua makada wa ccm.

==================================

Baada ya kuficha hisia zake kwa muda mrefu,Hatimae polepole aweka wazi yeye ni mwanachama wa CCM yupo chanel ten tumfuatilie kada huyu

Amesema yeye anaammini kwenye misingi ya uanzishwaji wa chama hicho mwaka 1977

Ikumbukwe muda wote wa bunge la katiba kijana huyu alishasema mara nyingi kuwa yeye sio mwanachama wa chama chochote cha siasa hapa nchini

Naona kasema Mwigulu na January bado vijana sana hawana uzoefu wa kutosha serikalini hivyo wanahitaji zaidi uzoefu wa kiuongozi kabla ya kufikia URais.

Katoa mifano ya viongozi vijana kama yule wa Madagascar, Burundi etc wanavyosumbua.
 
Ndio anaanza sasa ngoja tuone uchambuzi wake
 
pole pole live chanel ten anaongea mambo ya watangaza nia na mambo ya mitandao ya makundi ndani ya chama
 
Baada ya kuficha hisia zake kwa muda mrefu,Hatimae polepole aweka wazi yeye ni mwanachama wa CCM yupo chanel ten tumfuatilie kada huyu
Amesema yeye anaammini kwenye misingi ya uanzishwaji wa chama hicho mwaka 1977
Ikumbukwe muda wote wa bunge la katiba kijana huyu alishasema mara nyingi kuwa yeye sio mwanachama wa chama chochote cha siasa hapa nchini
 
Asante kwa kutujuza, ngoja nimuangalie maana namkubali sana huyu mtu.
 
Yule kijana, Nyerere mpya, Warioba mdogo, Kiboko ya wabishiccm Amfray polepole anashusha nondo muda huu ndani ya Chanel 10
 
Kama Mwanzoni alisema sio Mwanachama wa Chama Chochote na leo anakiri Kuwa ni Mwana Wa Magambani Tumweleweje. Ukiwa CCM Sifa Moja lazima Uwe Mwongo, Mtu wa Kusema Usiyoyaamini hata wewe Mwenyewe.

Kijana huyu ameonekana Kuwa Mchambuzi wa Mambo ya Kikatiba kwa weledi Mkubwa leo hii anatwambia kwamba ni GAMBA na Mwana wa Ufisadini, Lo ni ajabu Kweli.

Kama PolePole ni GAMBA, Hawezi Kutoa Comments Zozote Positive Kwa Mgombea toka UKAWA, Hivyo basi akishamaliza Kuwachambua Wagombea wa CCM, Inabidi asiwaguse wa UKAWA Kwani ni Mpinzani wa UKAWA na Hawezi Kuwatendea Haki.
 
Ewe Mwenyezimungu,sisi waja wako tunakuomba utujaalie amani,utulivu na usalama tunavyoelekea kwenye uchaguzi..wajaalie busara na hekima wote wanaowania nafasi ya u rais,UIFUNGE midomo yao kutamka kauli zinazobashiria uvunjifu wa amani na utulivu na hatimae tunakuomba utujaalie tumchaguwe kiongozi mzuri...AMINA
 
Tukipata hamsini kama huyu pole pole nchi ingeamka miaka ishirini iliyopita
 
Akafirie mbali huko. Bora angeendelea kusema hana chama. Sasa hv namuona kaoza tu kutokana na kuwa ktk bwawa la samaki waliooza. Hii habari imeniharibia siku yangu.
 
Naona kasema Mwigulu na January bado vijana sana hawana uzoefu wa kutosha serikalini hivyo wanahitaji zaidi uzoefu wa kiuongozi kabla ya kufikia URais. katoa mifan ya viongozi vojana kama yule wa Madagascar, Burundi etc wanavyosumbua.
 
Lowassa na Membe kasema wote wawekwe Pembeni. Tunaendelea....
 
Pole pole kuendelea kuwa mwanachama wa ccm anajishushia hadhi yake kabisa.
 
Back
Top Bottom