Nawasalimu kwa jina la Tanzania
Polepole amenukuliwa akisema kuwa katika awamu ya Tano aloondoka ni mtu mmoja tu MAGUFULI , lkn serikali ni ileile ,chama ni kilekile
hivyo hakuna awamu ya sita ,Tusiwe tunachanganya.
SWALI?
Wataalum humu ndani naombeni nielemishwe "kwahyo anachosema POLEPOLE ni sahihi " kwamba hii serikali anayoongoza mama ni ya Awamu ya Tano na si ya Sita na tumhesabia awamu ya sita 2025??
Na je?
ikitokea Mama asigombee awamu ya 2025 awamu ya tano itahesabika imetawala kwa miaka 10 ( vipindi vyote viwili)
kwa unyenyekevu naomba kuelimishwa maana kipindi hiki Tunachanganywa sana jmn!!! kila mtu ana lake jambo tunashindwa kujua which is which.
karibuni !
View attachment 2033387