Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,035
- 12,805
Sijawahi kuwa CDM....Wewe ni utopolo tu. Wewe wakati ulee ulikuwa upande wa nyumbu naona sasa eti umerudi CCM inaonekana ndiyo nyinyi mliokuwa majizi ndani ya CCM awamu ya tano mkavurushwa sasa mnajifanya kurudi. Hamtafauru hakuna kuiibia CCM tena!
Miaka yote nilimsapoti JPM...umesahau ?!!!
MADARASA ya itikadi yanatutaka UTII kwa viongozi wetu wakuu.....ninyi ndio mliokuja CCM kwa ajili ya JPM...hayupo sasa....ila chama kipo na kitakuwepo hata baada ya CHIFU HANGAYA.......
SIEMPRE CCM🙏

