Humphrey Polepole unaamaanisha nini kusema hivi?

Humphrey Polepole unaamaanisha nini kusema hivi?

Nawasalimu kwa jina la Tanzania

Polepole amenukuliwa akisema kuwa katika awamu ya Tano aloondoka ni mtu mmoja tu MAGUFULI , lkn serikali ni ileile ,chama ni kilekile

hivyo hakuna awamu ya sita ,Tusiwe tunachanganya.

SWALI?
Wataalam humu ndani naombeni nielemishwe "kwa hiyo anachosema POLEPOLE ni sahihi " kwamba hii serikali anayoongoza mama ni ya Awamu ya Tano na si ya Sita na tumhesabie awamu ya sita 2025?

Na je?

Ikitokea Mama asigombee awamu ya 2025 awamu ya tano itahesabika imetawala kwa miaka 10 ( vipindi vyote viwili)

Kwa unyenyekevu naomba kuelimishwa maana kipindi hiki Tunachanganywa sana jmn!!! kila mtu ana lake jambo tunashindwa kujua which is which.

karibuni !
View attachment 2033387
Yuko sahihi
 
Jiwe alihakikisha kila kitu yupo nyuma yake ili sifa zote zimrudie !

Matokeo yake watu wakaamini bila yeye hakuna Tanzania ilhali nchi ilikuwepo kabla hata ya yeye kuzaliwa mbali na yote alitaka siku asipokuwepo watu waone mambo hayaendi na yeye ndio alikua anafanikisha!

Kwa akili kama hizo nchi kuongozwa kama familia itachukua walau miaka 7 tena nchi kurudi mstarini mama yenu ana kazi kubwa kuwachomoa sana mizizi na vizizi alivyopandikiza yule mtu !

Ndio maana hadi leo kuna watu wanaamini miradi mikubwa alijenga kwa pesa yake mara pesa za ndami kumbe ameiacha nchi kwenye deni kubwa lililokuwa linafichwa kwa nguvu kubwa
 
Jiwe alihakikisha kila kitu yupo nyuma yake ili sifa zote zimrudie !

Matokeo yake watu wakaamini bila yeye hakuna Tanzania ilhali nchi ilikuwepo kabla hata ya yeye kuzaliwa mbali na yote alitaka siku asipokuwepo watu waone mambo hayaendi na yeye ndio alikua anafanikisha!

Kwa akili kama hizo nchi kuongozwa kama familia itachukua walau miaka 7 tena nchi kurudi mstarini mama yenu ana kazi kubwa kuwachomoa sana mizizi na vizizi alivyopandikiza yule mtu !

Ndio maana hadi leo kuna watu wanaamini miradi mikubwa alijenga kwa pesa yake mara pesa za ndami kumbe ameiacha nchi kwenye deni kubwa lililokuwa linafichwa kwa nguvu kubwa
okay.
JamiiForums1021584966.jpg
 
Back
Top Bottom