gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 6,174
- 6,813
Hizo sifa za huu ufafanuzi wako zimeandikwa wapi utuletee nasisi tusome huo ufafanuzi.Ni awamu ya sita kwa sababu kipindi cha pili awamu ya tano hakikufikia nusu ya muda wake kwa hiyo hakina sifa ya kuitwa awamu kwa maana hiyo Rais aliyepo kaanza awamu ingine ya sita
kakusoma Na kukusikia!