Humphrey Polepole, Joseph Goebbels wa awamu ya tano aliyesimamia sera za kuua demokrasia, accomplice kwa majanga ya Lissu Dodoma

Humphrey Polepole, Joseph Goebbels wa awamu ya tano aliyesimamia sera za kuua demokrasia, accomplice kwa majanga ya Lissu Dodoma

Joseph Goebbels alikuwa mwenezi wa sera za chama cha kidikteta cha Adolf Hitler. Hitler alikuwa moja ya madikteta katili kabisa dunia imewahi kuwafahamu. Mtu aliyetumika kuupika na kuuukubalisha udikteta wa Hitler, ni Joseph Goebbels.

Ni huyu Pole pole alisimamia sera ya kuua vyama vya siasa, Lissu alipigwa risasi wakati Pole pole akiwa mwandani wa JPM, asiseme hakujua mpango mzima.

Pole pole alikuwa akitembea na mafuko ya hela kuhonga wapinzani waunge mkono juhudi leo anasema kuna rushwa sana. Pole pole aliyefuata wapinzani magerezani akawapa mamia ya mamilioni kisha wakaapishwa kuwa wabunge wakitokea magereza! Leo hata ambao Pole pole aliua chama chao wamesahau kwamba anayejifanya mwenzao ndiye alikuwa mbeba sumu ya kisiasa kwa chama chao

Leo anajitakatisha aonekane mwema wakati ni jitu katili linalosubiri fursa likamalizie kazi yake. Anafanya siasa za ulaghai akiamini watanzania wamesahau ushenzi waliolifanyia taifa.

Hawapatapa fursa hiyo tena, we said, never again!
We ni mwanamtandao?
 
Mkapa ndo alinusulu chama kipindi kile now sasa wa kunusulu chama
Kinusuriwe kina shida gani, CCM sahv iko strong kuliko wakati mwingine wowote ule. Hebu fikiria jimbo moja la uchaguzi lina wagombea zaidi ya 20 na humo kuna wasomi wa kiwango cha juu cha uprofesa. Chama chenye wafuasi km hao unanusuru nini, huu upuuzi wa misukule ya humu mitandaoni?
 
Joseph Goebbels alikuwa mwenezi wa sera za chama cha kidikteta cha Adolf Hitler. Hitler alikuwa moja ya madikteta katili kabisa dunia imewahi kuwafahamu. Mtu aliyetumika kuupika na kuuukubalisha udikteta wa Hitler, ni Joseph Goebbels.

Ni huyu Pole pole alisimamia sera ya kuua vyama vya siasa, Lissu alipigwa risasi wakati Pole pole akiwa mwandani wa JPM, asiseme hakujua mpango mzima.

Pole pole alikuwa akitembea na mafuko ya hela kuhonga wapinzani waunge mkono juhudi leo anasema kuna rushwa sana. Pole pole aliyefuata wapinzani magerezani akawapa mamia ya mamilioni kisha wakaapishwa kuwa wabunge wakitokea magereza! Leo hata ambao Pole pole aliua chama chao wamesahau kwamba anayejifanya mwenzao ndiye alikuwa mbeba sumu ya kisiasa kwa chama chao

Leo anajitakatisha aonekane mwema wakati ni jitu katili linalosubiri fursa likamalizie kazi yake. Anafanya siasa za ulaghai akiamini watanzania wamesahau ushenzi waliolifanyia taifa.

Hawapatapa fursa hiyo tena, we said, never again!
Ni kweli Humphrey alifanya makosa makubwa chini ya Magufuli, hakuna wa kuyasafisha. Lakini kosa la jana haliwezi kuwa kizuizi cha mtu leo kusimama upande wa ukweli, isipokuwa kwa wale wanaoogopa ukweli huo. Kazi ya Taifa si kuendelea kushikilia hasira, bali ni kutumia kila mtu aliye tayari kupigania mabadiliko ya kweli — hata kama jana alikuwa upande mbaya.

Wanaoshangilia urahisi wa Samia na kumshauri aendelee kulea ulegelege wa kiutawala si kwa sababu wanapenda Watanzania, bali ni kwa sababu mifumo dhaifu inawalinda wao na ulaji wao. Hao ndio wahuni wa kisiasa wanaokwamisha hatua, si mtu yeyote anayejaribu kurekebisha msimamo wake na kukemea ufisadi au dhuluma.

Kama kila anayewahi kukosea atawekwa kando, basi tunawaachia nchi mikononi mwa hao wanaoifisidi bila kujali, na hapo tutakuwa tumesaidia maovu kushinda.

#wahunihamkubalik
#escrow
#Pap
#symbion
#pesakwenyesandarusi
 
Joseph Goebbels alikuwa mwenezi wa sera za chama cha kidikteta cha Adolf Hitler. Hitler alikuwa moja ya madikteta katili kabisa dunia imewahi kuwafahamu. Mtu aliyetumika kuupika na kuuukubalisha udikteta wa Hitler, ni Joseph Goebbels.

Ni huyu Pole pole alisimamia sera ya kuua vyama vya siasa, Lissu alipigwa risasi wakati Pole pole akiwa mwandani wa JPM, asiseme hakujua mpango mzima.

Pole pole alikuwa akitembea na mafuko ya hela kuhonga wapinzani waunge mkono juhudi leo anasema kuna rushwa sana. Pole pole aliyefuata wapinzani magerezani akawapa mamia ya mamilioni kisha wakaapishwa kuwa wabunge wakitokea magereza! Leo hata ambao Pole pole aliua chama chao wamesahau kwamba anayejifanya mwenzao ndiye alikuwa mbeba sumu ya kisiasa kwa chama chao

Leo anajitakatisha aonekane mwema wakati ni jitu katili linalosubiri fursa likamalizie kazi yake. Anafanya siasa za ulaghai akiamini watanzania wamesahau ushenzi waliolifanyia taifa.

Hawapatapa fursa hiyo tena, we said, never again!

Wahuni na vibaraka wao mashimoni rungu imepulizwa lazima mtoke humo.

Polepole ongeza dozi Moja tayari limeshachungulia nje. Bado mengine!
 
Aliyempiga risasi lissu kunauwezekano mkubwa akawa Makamu wa kipindi kile ili kumhujumu rais wa kipindi hicho.Maana kama siyo yeye Kwa Nini mauaji yaendelee Hadi Leo kama yale ya mzee kibao,mdude na wengine. Huyu wa saa ni muuaji
Ni wana mtandao nahisi walimpiga riisasi kumuhujumu rais
Nadhani mtandao ulimzidi nguvu magufuli akashindwa kuchukua hatua
 
Joseph Goebbels alikuwa mwenezi wa sera za chama cha kidikteta cha Adolf Hitler. Hitler alikuwa moja ya madikteta katili kabisa dunia imewahi kuwafahamu. Mtu aliyetumika kuupika na kuuukubalisha udikteta wa Hitler, ni Joseph Goebbels.

Ni huyu Pole pole alisimamia sera ya kuua vyama vya siasa, Lissu alipigwa risasi wakati Pole pole akiwa mwandani wa JPM, asiseme hakujua mpango mzima.

Pole pole alikuwa akitembea na mafuko ya hela kuhonga wapinzani waunge mkono juhudi leo anasema kuna rushwa sana. Pole pole aliyefuata wapinzani magerezani akawapa mamia ya mamilioni kisha wakaapishwa kuwa wabunge wakitokea magereza! Leo hata ambao Pole pole aliua chama chao wamesahau kwamba anayejifanya mwenzao ndiye alikuwa mbeba sumu ya kisiasa kwa chama chao

Leo anajitakatisha aonekane mwema wakati ni jitu katili linalosubiri fursa likamalizie kazi yake. Anafanya siasa za ulaghai akiamini watanzania wamesahau ushenzi waliolifanyia taifa.

Hawapatapa fursa hiyo tena, we said, never again!
Mtu hawezi kutubu dhambi na kuokoka??
 
Joseph Goebbels alikuwa mwenezi wa sera za chama cha kidikteta cha Adolf Hitler. Hitler alikuwa moja ya madikteta katili kabisa dunia imewahi kuwafahamu. Mtu aliyetumika kuupika na kuuukubalisha udikteta wa Hitler, ni Joseph Goebbels.

Ni huyu Pole pole alisimamia sera ya kuua vyama vya siasa, Lissu alipigwa risasi wakati Pole pole akiwa mwandani wa JPM, asiseme hakujua mpango mzima.

Pole pole alikuwa akitembea na mafuko ya hela kuhonga wapinzani waunge mkono juhudi leo anasema kuna rushwa sana. Pole pole aliyefuata wapinzani magerezani akawapa mamia ya mamilioni kisha wakaapishwa kuwa wabunge wakitokea magereza! Leo hata ambao Pole pole aliua chama chao wamesahau kwamba anayejifanya mwenzao ndiye alikuwa mbeba sumu ya kisiasa kwa chama chao

Leo anajitakatisha aonekane mwema wakati ni jitu katili linalosubiri fursa likamalizie kazi yake. Anafanya siasa za ulaghai akiamini watanzania wamesahau ushenzi waliolifanyia taifa.

Hawapatapa fursa hiyo tena, we said, never again!
Hata wewe ukiacha dhambi yako ya uchawa ukaanza kuhubiri haki tutakusamehe mkuu... Hata sauli aliyekua muuaji wa watumishi wa Mungu alisamehewa baada kuacha njia yake mbaya
 
Mbona chawa hawajitokezi kumjibu Polepole kama ilivyo desturi yao au vilimilimi kwisha?
 
Joseph Goebbels alikuwa mwenezi wa sera za chama cha kidikteta cha Adolf Hitler. Hitler alikuwa moja ya madikteta katili kabisa dunia imewahi kuwafahamu. Mtu aliyetumika kuupika na kuuukubalisha udikteta wa Hitler, ni Joseph Goebbels.

Ni huyu Pole pole alisimamia sera ya kuua vyama vya siasa, Lissu alipigwa risasi wakati Pole pole akiwa mwandani wa JPM, asiseme hakujua mpango mzima.

Pole pole alikuwa akitembea na mafuko ya hela kuhonga wapinzani waunge mkono juhudi leo anasema kuna rushwa sana. Pole pole aliyefuata wapinzani magerezani akawapa mamia ya mamilioni kisha wakaapishwa kuwa wabunge wakitokea magereza! Leo hata ambao Pole pole aliua chama chao wamesahau kwamba anayejifanya mwenzao ndiye alikuwa mbeba sumu ya kisiasa kwa chama chao

Leo anajitakatisha aonekane mwema wakati ni jitu katili linalosubiri fursa likamalizie kazi yake. Anafanya siasa za ulaghai akiamini watanzania wamesahau ushenzi waliolifanyia taifa.

Hawapatapa fursa hiyo tena, we said, never again!
Subiri dawa iwaaingie ,hayo yashapita tugange yajayo ,aliona alikosea ndiyo maana akaachana na WAHUNI.
 
Joseph Goebbels alikuwa mwenezi wa sera za chama cha kidikteta cha Adolf Hitler. Hitler alikuwa moja ya madikteta katili kabisa dunia imewahi kuwafahamu. Mtu aliyetumika kuupika na kuuukubalisha udikteta wa Hitler, ni Joseph Goebbels.

Ni huyu Pole pole alisimamia sera ya kuua vyama vya siasa, Lissu alipigwa risasi wakati Pole pole akiwa mwandani wa JPM, asiseme hakujua mpango mzima.

Pole pole alikuwa akitembea na mafuko ya hela kuhonga wapinzani waunge mkono juhudi leo anasema kuna rushwa sana. Pole pole aliyefuata wapinzani magerezani akawapa mamia ya mamilioni kisha wakaapishwa kuwa wabunge wakitokea magereza! Leo hata ambao Pole pole aliua chama chao wamesahau kwamba anayejifanya mwenzao ndiye alikuwa mbeba sumu ya kisiasa kwa chama chao

Leo anajitakatisha aonekane mwema wakati ni jitu katili linalosubiri fursa likamalizie kazi yake. Anafanya siasa za ulaghai akiamini watanzania wamesahau ushenzi waliolifanyia taifa.

Hawapatapa fursa hiyo tena, we said, never again!
Inasikitisha kwa kweli.
 
Joseph Goebbels alikuwa mwenezi wa sera za chama cha kidikteta cha Adolf Hitler. Hitler alikuwa moja ya madikteta katili kabisa dunia imewahi kuwafahamu. Mtu aliyetumika kuupika na kuuukubalisha udikteta wa Hitler, ni Joseph Goebbels.

Ni huyu Pole pole alisimamia sera ya kuua vyama vya siasa, Lissu alipigwa risasi wakati Pole pole akiwa mwandani wa JPM, asiseme hakujua mpango mzima.

Pole pole alikuwa akitembea na mafuko ya hela kuhonga wapinzani waunge mkono juhudi leo anasema kuna rushwa sana. Pole pole aliyefuata wapinzani magerezani akawapa mamia ya mamilioni kisha wakaapishwa kuwa wabunge wakitokea magereza! Leo hata ambao Pole pole aliua chama chao wamesahau kwamba anayejifanya mwenzao ndiye alikuwa mbeba sumu ya kisiasa kwa chama chao

Leo anajitakatisha aonekane mwema wakati ni jitu katili linalosubiri fursa likamalizie kazi yake. Anafanya siasa za ulaghai akiamini watanzania wamesahau ushenzi waliolifanyia taifa.

Hawapatapa fursa hiyo tena, we said, never again!
Chiembe ni hivii,huko tuendako wale wote waliokuwa chawa na kutupatia matokeo tunayoyaona leo,watajibu kwani walikubali kuwa chawa na itakuwa huzuni kwao baada ya athari ya ushabiki kwa yale yasiyofaa.
 
Chiembe ni hivii,huko tuendako wale wote waliokuwa chawa na kutupatia matokeo tunayoyaona leo,watajibu kwani walikubali kuwa chawa na itakuwa huzuni kwao baada ya athari ya ushabiki kwa yale yasiyofaa.
Akina Lucas Mwashambwa
 
Back
Top Bottom