Khalifavinnie
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 2,840
- 2,425
- Thread starter
- #61
Nina masomo mengi ya kuwasilisha humu ila sasa ndugu zangu tuwe na ustaarabu ili hata tunapoeleweshana watu angalau watoke na kitu flani,ila si kuibuliana mada tofauti na mada lengwa iliyopo hii itatufanya tuishie kulumbana na visivyo na maana ndio maana ukifutilia nyuzi nyingi zinatowekea pasipo kuwa na mlolongo stahiki wala muafaka lengwa sasa kila mtu humu anaanzisha swali lake hivi kutaeleweka kweli?? Watz hebu tuwe wastaarabu mabraza na kina dada tuwe wastaarabu mdogo wenu najitaidi kushare nanyi kitu cha utofauti kidg angalau tujitambue kidg natumai mmenielewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app