Hukumu ya Zombe: Aachiwa!

Hukumu ya Zombe: Aachiwa!

I mean he can not evade capital punishment or life sentence!

Ooooh, oops,
maana presha ilipanda na kushuka ghafla.
watu wa huduma ya kwanza mko wapi jamani?
 
wazee wa maadili wameamua kumwadilisha mwenzao mhhhhhhh !!!!!! haya weee sioni mbele kiza kikuuuuuu 2010 ! kuna mambo.
 
wazee wa maadili wameamua kumwadilisha mwenzao mhhhhhhh !!!!!! haya weee sioni mbele kiza kikuuuuuu 2010 ! kuna mambo.

Kinepi nepi,hiyo habari nayo inamuhusu zombe? Tunataka habari za mahakamani kwa sasa jamani.
 
zombe akikosa kunyongwaau kifungo cha maisha basi tena
 
mama yanguuu, for the first time naona posts zinafukuzana kama upepo.
 
jaji salum massati epuka laana mbele yako zombe lazima anyongwe tu au kifungo cha maisha.
 
jaji salum massati epuka laana mbele yako zombe lazima anyongwe tu au kifungo cha maisha.

Massati is very serious, lazima afuate sheria, jamaa hana upendeleo hata kidogo!, lazima ajenge na alinde hishma yake.
 
Back
Top Bottom