Invisible
Robot
- Feb 11, 2006
- 9,075
- 7,878
Jina la jamaa limenikaa sana kichwani mkuu, nimerekebisha.Hii imekaaje! Zombe anaendelea toa maelezo??
Ni Jaji Salum Massati mkuu
Jina la jamaa limenikaa sana kichwani mkuu, nimerekebisha.Hii imekaaje! Zombe anaendelea toa maelezo??
Statement ya Rashid Lema ishatupiliwa mbali, haina maana tena...
Jaji Salum Massati anaendelea kutoa maelezo
Ndo hivyo tena, Jaji ameutupilia mbali. Anasema hayo maelezo ya Lema hayawezi kuisaidia Mahakama kuwatia hatiani watuhumiwa kwakuwa hayupo kishakufa!Duh na Lema ndio alikuwa shahidi muhimu, basi watatoka kina Zombe.
Hukuma ishaanza kusomwa? Hakuna mtu aliyekaribu na High Court?
huyu asipofungwa, akirudi mtaani watammalizia labda apewe ulinzi
Mkuu taratibu usitake kutuangukia hapa bure, MODS tunaomba watu wa First Aid wakae tayari kutoa huduma.DUUU Moyo wangu unadunda.......nasubiria kwa hamu sana