MWANAWAVITTO
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 258
- 220
Hapo Rufaa ni muhimu. Uchakachuzi umezidi
hata ukikata rufaa, unarudi pale pale, mikononi mwa walewale wenye nia ile ile, na lengo lile lile kwenye mfumo wa mahakama zile zile. What 4?
Hapo Rufaa ni muhimu. Uchakachuzi umezidi
Tangu jana nilielezea kwamba nimepata taarifa kuvuja kwa hukumu ya mh Lema. Mods aliunganisha link yangu na nyingine zilizokuwa zinashabihana na hilo. Kitaaluma mimi ni mwanasheria na hakika kila mwenye taaluma hii na aliyekuwa akifuatilia kesi atabaki mdomo wazi juu ya hukumu iliyotolewa. Huyu jaji alichofanya ni kucheza na akili za watu, na nina uhakika alikua na hukumu mbili mkononi.
Hata mwanafunzi wa sheria mwaka wa kwanza anajua kwamba katika 'tort' ili kosa lionekane limetendwa ni lazima aliyetuhumiwa athibitishe ameathirikaje na hizo tuhuma. Inakuwaje 3rd party ndo athibitishe hilo?
Batlida hajawahi kuja mahakamani. Kesi hii inaandika historia katika mhimili wa mahakama juu ya uhuru wake. Kuna haja ya majaji katika mahakama kuu kufanyiwa enterview kama kule kenya wanavyofanya. Hii hukumu imenikumbusha mengi katika tasnia ya sheria, daima itabaki kuwa kumbukumbu mbovu kwenye mhimili wa mahakama.
CCM is not satisfied with a normal 6ft deep grave dug for them in Arumeru, they are digging deeper and deeper! Arusha will teach them a valuable lesson. To loose two bi elections in a row will be bitter for Ritz and co to swallow!
Was Batlida called before the Court to testify and prove if such abusive words were uttered against her by Lema..?
tangu jana nilielezea kwamba nimepata taarifa kuvuja kwa hukumu ya mh lema. Mods aliunganisha link yangu na nyingine zilizokuwa zinashabihana na hilo. Kitaaluma mimi ni mwanasheria na hakika kila mwenye taaluma hii na aliyekuwa akifuatilia kesi atabaki mdomo wazi juu ya hukumu iliyotolewa. Huyu jaji alichofanya ni kucheza na akili za watu, na nina uhakika alikua na hukumu mbili mkononi.
Hata mwanafunzi wa sheria mwaka wa kwanza anajua kwamba katika 'tort' ili kosa lionekane limetendwa ni lazima aliyetuhumiwa athibitishe ameathirikaje na hizo tuhuma. Inakuwaje 3rd party ndo athibitishe hilo?
Batlida hajawahi kuja mahakamani. Kesi hii inaandika historia katika mhimili wa mahakama juu ya uhuru wake. Kuna haja ya majaji katika mahakama kuu kufanyiwa enterview kama kule kenya wanavyofanya. Hii hukumu imenikumbusha mengi katika tasnia ya sheria, daima itabaki kuwa kumbukumbu mbovu kwenye mhimili wa mahakama.
wenzetu wakenya huwa wana ka utaratibu kazuri sana wa kuwapata viongozi wa kuongoza taasisi nyeti zote.huku kwetu hawa mabwana ni ma president appointees,hv rais akisema make sure that kesi funali ushindi unapatikana atagoma jaji?
My learned friend, what kind of tort are you talking about? Go and dig deeper, there are precedents which may make an adjudicator dispense with such a general rule. Furthermore, the complainants were the ones needed to prove, the insulted person was just to be a witness needed not to prove damage on herself rather than proving the words were uttered. There was no need of calling her if the evidence adduced sufficed to convict the way the complainant contemplated. For example if I utter abusive words to your father at your presence, will you fail to prove damage or injury upon yourself? As you will be the complainant, your father's role will be to prove that there were such abusive words. Scout around my fellow learned friend.
bora lema ametolewa bungeni maana alikuwa sifa nyingi yule
Hapo Rufaa ni muhimu. Uchakachuzi umezidi
hakika naamini Lema atarudi mjengoni hilo la kuchakachua lilikuwa wazi tangia awali.hukumu ilijulikana mapemaaaaaaaaaaa.
wanasheria nao kujifanyia 'learned' zaidi ya wengine?! Sasa wewe unatuletea vingereza na torts za kwenye wikipedia! Ndo mnaochuuza nchi yetu,lakn kwa arusha wembe utakaotumika ni uleule wa arumeru. Haujaisha makali.