wadau biharamulo iko mkoa mpya wa chato zamani ililikuwa mkoani kagera majira ni yakawaida sio ya africa ya kati naomba kuweka kumbukumbu sawa,asanteni mwenye updates za hukumu aendelee kutujuza
Jamani Updates
Mimi nimeamua kulala ofisini maana nyumbani sina net au nibebe desktop wakuu? Nihurumieni, leta taarifa niondoke haraka.
wadau biharamulo iko mkoa mpya wa chato zamani ililikuwa mkoani kagera majira ni yakawaida sio ya africa ya kati naomba kuweka kumbukumbu sawa,asanteni mwenye updates za hukumu aendelee kutujuza
Ivi kumbe kuna wilaya hakuna hata mmoja wa JF.arusha jf humu 2po 2173.
Unauliza au unapotosha??
Threads zipo nyingi humu JF, hii achana nayo!!
Wilaya ya Chato ipo mkoa mpya wa Geita.
Mkoa wa Kagera = Bukoba, Muleba, Karagwe, Ngara, Kyerwa (mpya) na Biharamulo
labda Wanatumia latitude za kichina
ngoja niendelee ku-refresh page
Unauliza au unapotosha??
Threads zipo nyingi humu JF, hii achana nayo!!
Wilaya ya Chato ipo mkoa mpya wa Geita.
Mkoa wa Kagera = Bukoba, Muleba, Karagwe, Ngara, Kyerwa (mpya) na Biharamulo
wadau biharamulo iko mkoa mpya wa chato zamani ililikuwa mkoani kagera majira ni yakawaida sio ya africa ya kati naomba kuweka kumbukumbu sawa,asanteni mwenye updates za hukumu aendelee kutujuza
Hapana. Bado iko Kagera. Iliyohamia Mkoa wa Geita (siyo Chato) ni wilaya ya Chato.
wadau biharamulo iko mkoa mpya wa chato zamani ililikuwa mkoani kagera majira ni yakawaida sio ya africa ya kati naomba kuweka kumbukumbu sawa,asanteni mwenye updates za hukumu aendelee kutujuza