Mfuatiliaji
Senior Member
- Jun 5, 2008
- 153
- 33
kwa makamanda walio kuwa Arusha sisi huku mokoani moja haikai mbili haionekani ... please tunaomba mtupe update kuhusu hukumu kesi ya kamanda wa ukweli lema.
1 vipi mpaka mda huu arusha hali ikoje kwa ujumla usalama umeimarishwa zaidi?
2. mahakamani hali ikoje makamanda wapo wa kutosha ?
3 mengine yote yanafaa kuelezwa kuhusiana na hii kesi ?
1 vipi mpaka mda huu arusha hali ikoje kwa ujumla usalama umeimarishwa zaidi?
2. mahakamani hali ikoje makamanda wapo wa kutosha ?
3 mengine yote yanafaa kuelezwa kuhusiana na hii kesi ?