Hukumu kesi ya Lema tarehe 21-12-2012

Hukumu kesi ya Lema tarehe 21-12-2012

OMUSILANGA

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2012
Posts
384
Reaction score
228
Ndiyo Wakuu ,Heshima kwenu ! Kwa mujibu wa taarifa toka kwa Wakili wa Lema ,ndgu Kimomogolo muda mfupi uliopita akiwa Mwanza kushughulikia Sintofahamu ya kesi ya Madiwani Mwanza, amedai kuwa jana amepokea taarifa toka Mahakama kuu ya Rufaa kuwa tarehe 21/12/2012 ndo itakuwa siku ya hukumu kutolewa. My take :- TUMWOMBE MUNGU ILI NURU ISHINDE GIZA .
 
Ndiyo Wakuu ,Heshima kwenu ! Kwa mujibu wa taarifa toka kwa Wakili wa Lema ,ndgu Kimomogolo muda mfupi uliopita akiwa Mwanza kushughulikia Sintofahamu ya kesi ya Madiwani Mwanza, amedai kuwa jana amepokea taarifa toka Mahakama kuu ya Rufaa kuwa tarehe 21/12/2012 ndo itakuwa siku ya hukumu kutolewa. My take :- TUMWOMBE MUNGU ILI NURU ISHINDE GIZA .
 
ndiyo wakuu ,heshima kwenu ! Kwa mujibu wa taarifa toka kwa wakili wa lema ,ndgu kimomogolo muda mfupi uliopita akiwa mwanza kushughulikia sintofahamu ya kesi ya madiwani mwanza, amedai kuwa jana amepokea taarifa toka mahakama kuu ya rufaa kuwa tarehe 21/12/2012 ndo itakuwa siku ya hukumu kutolewa. My take :- tumwombe mungu ili nuru ishinde giza .
hofu ya nini
 
Kweli lema amesota sana sana na sasa tunasema mungu afikishe mahali aseme imetosha
lema anakwenda kuchukuwa kiti chake cha ubunge ambacho amekiacha kwa muda sasa
mungu mbariki lema na bariki chadema, amina
 
Ndiyo Wakuu ,Heshima kwenu ! Kwa mujibu wa taarifa toka kwa Wakili wa Lema ,ndgu Kimomogolo muda mfupi uliopita akiwa Mwanza kushughulikia Sintofahamu ya kesi ya Madiwani Mwanza, amedai kuwa jana amepokea taarifa toka Mahakama kuu ya Rufaa kuwa tarehe 21/12/2012 ndo itakuwa siku ya hukumu kutolewa. My take :- TUMWOMBE MUNGU ILI NURU ISHINDE GIZA .

God has already intervened, aibu itakuwa kwa Majaji kupindisha ukweli unaojidhihirisha hata mtoto wa primary anauona.If they'll choose shame instead of fame, basi haki Tanzania itakuwa hakuna.
 
Ndiyo Wakuu ,Heshima kwenu ! Kwa mujibu wa taarifa toka kwa Wakili wa Lema ,ndgu Kimomogolo muda mfupi uliopita akiwa Mwanza kushughulikia Sintofahamu ya kesi ya Madiwani Mwanza, amedai kuwa jana amepokea taarifa toka Mahakama kuu ya Rufaa kuwa tarehe 21/12/2012 ndo itakuwa siku ya hukumu kutolewa. My take :- TUMWOMBE MUNGU ILI NURU ISHINDE GIZA .
HAKI huwa haibakwi milele - na Hakimu mkuu ni Mwenyezi mungu pekee. We pray!!!
 
itakuwa ndio siku ya mwisho wa dunia kwa wale wasio na imani
 
Kila lililo la heri,mungu atende haki kwa upande unaostahili,Binafsi nimefurahishwa na kipindi ambacho Lema alikuwa nje ya mjengo wa bunge,maana amekuwa akizunguka sehemu mbalimbali katika taifa letu kusambaza ujumbe wa mabadiliko kupitia chama chake.
 
Christmas itakua ya furaha sana! Wala hakuna hofu,matokeo yeyote hayana hasara kwa cdm bali kwa magamba.
 
Inaweza Chrismas mbaya kwa Lema au furaha. All in all Lema atarudishiwa ubunge wake, natumaini serikali haina hela za kuchezea kiasi hicho kwa kitu ambacho kiko wazi kupindukia.
 
Back
Top Bottom