Huku uswahilini kwetu

Huku uswahilini kwetu

Mchumba

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2012
Posts
280
Reaction score
262
Wana MMU

Yaani huku uswazi kwetu Morogoro Road(Dar es Salaam) kuanzia kituo cha Bigbrother(Urafiki), Manzese kwenda mpaka Magomeni vile vituo vyoote vya Mabasi ya Mwendo kasi(BRT) waswazi washageuza sehemu za appointment kukutania na wachumba.

Ukipita mida ya jioni kuanzia saa moja moja kijua kimezama utakuta watu wamekula zao pozi ni mwendo wa wawili wawili mwanzo mwisho.

Watu hawataki bugdha, wengine wakizidiwa wanaamua kumalizana hapo hapo , yaani ni full burudani.

Kinachonishangaza japo ni barabarani kweupeee lakini hakuna mwenye time na life ya mtu, wenye kukamatana wamekamatana, wenye kudendeka ndo usiseme, wenye kupinduana yaani ni vululu vululu.


Namtafuta kipenzi changu asigwa na shemeji yangu Bujibuji twende na sie tukapunge upepo pale argentina tutumie hii fursa kabla ya mwaka kuisha tuone ladha ya mapenzi ya kiswazi. lol
 
Huku uswahilini kwetu Morogoro Road(Dar es Salaam) kuanzia kituo cha Bigbrother(Urafiki), Manzese kwenda mpaka Magomeni yaani vile vituo vyoote vya Mabasi ya Mwendo kasi(BRT) waswazi washageuza sehemu za appointment kukutania na wachumba.

Ukipita mida ya jioni kuanzia saa moja moja kijua kimezama utakuta watu wamekula zao pozi ni mwendo wa wawili wawili mwanzo mwisho.

Watu hawataki bugdha, wengine wakizidiwa wanaamua kumalizana hapo hapo , yaani ni full burudani.

Kinachonishangaza japo ni barabarani kweupeee lakini hakuna mwenye time na life ya mtu, wenye kukamatana wamekamatana, wenye kudendeka ndo usiseme, wenye kupinduana yaani ni vululu vululu.

Namtafuta kipenzi changu asigwa na shemeji yangu Bujibuji twende na sie tukapunge upepo pale argentina kabla ya mwaka kuisha tuone ladha ya mapenzi ya kiswazi. lol

He! Kumbe ile thread uliyoweka ilifanya kazi? Tayari mshaanza mapenzi na asigwa? Kweli nimeamini watu wanashughulikia fursa haraka sana
 
Last edited by a moderator:
He! Kumbe ile thread uliyoweka ilifanya kazi? Tayari mshaanza mapenzi na asigwa? Kweli nimeamini watu wanashughulikia fursa haraka sana
Hujasikia ule wimbo "mwanaume kwa mwanaume ni kama mfupa kwa fisi" ??
 
Watanzania sisi ni malimbukeni sana, ukiacha tu kugeuza hayo maeneo kama gesti bubu bali wengine ndio wameyafanya kama magenge yao ya biashara...
 
Watanzania sisi ni malimbukeni sana, ukiacha tu kugeuza hayo maeneo kama gesti bubu bali wengine ndio wameyafanya kama magenge yao ya biashara...
Ni kutumia ni fursa zilizopo kukabiliana na changamoto, hasa za kimwili
 
Ngoja nianze mikakati ya kumpindua asigwa, huyo shemeji hanipishida sana, asigwa akishatoweka automatically unapata shemeji mpya au siyo? Ntafanya Mchumba awe Mchumba wangu.
 
Last edited by a moderator:
halafu subiri siku wakija kuondolewa hayo malalamiko utakayo sikia
"oooooh sie tuna watoto tunasomesha kwa biashara hizi tunazofanya hapa sasa wanatutimua twende wapi mara ooh serikali inataka watu wawe majambazi" yaani ujinga ujinga mtupu, utafikiri kama hawajui kwamba hiyo ni barabara....
Watanzania sisi ni malimbukeni sana, ukiacha tu kugeuza hayo maeneo kama gesti bubu bali wengine ndio wameyafanya kama magenge yao ya biashara...
 
Ngoja nianze mikakati ya kumpindua asigwa, huyo shemeji hanipishida sana, asigwa akishatoweka automatically unapata shemeji mpya au siyo? Ntafanya Mchumba awe Mchumba wangu.
Utaweza wewe??

Achana kabisa na baby boi wangu, kanikamatajeeee...

Sijui kaniwekea nini mie
 
Pale maeneo ya Manzese pameharibiwa haribiwa vile vitofali vya kuweka kingo za barabara mpya, watu wameifanya ile barabara kama dampo maana uchafu umeezagaa...

Watanzania sisi sijui tulijambwa au tulizaliwa, hakuna jambo twafanya kwa kutumia akili ipasavyo...bure kabisa!!!

halafu subiri siku wakija kuondolewa hayo malalamiko utakayo sikia
"oooooh sie tuna watoto tunasomesha kwa biashara hizi tunazofanya hapa sasa wanatutimua twende wapi mara ooh serikali inataka watu wawe majambazi" yaani ujinga ujinga mtupu, utafikiri kama hawajui kwamba hiyo ni barabara....
 
Serikali sikivu huleta fursa km hizi safiiiii mkwanja rum tutafanyia mengine kesho ntanjoo mitaa hiyo nichangamkie fursa kwa kuuza NDOkomu.
 
Kweli aisee ukipita mitaa hiyo mida ya jion unakuta kila mtu na wake hivi kumbe watu wanamalizana palepale mimi nikafikri wanapiga tu stori dah kweli tunakoelekea watu watakuwa wanadandiana kama kuku mchana kweupe
 
Wana MMU

Yaani huku uswazi kwetu Morogoro Road(Dar es Salaam) kuanzia kituo cha Bigbrother(Urafiki), Manzese kwenda mpaka Magomeni vile vituo vyoote vya Mabasi ya Mwendo kasi(BRT) waswazi washageuza sehemu za appointment kukutania na wachumba.

Ukipita mida ya jioni kuanzia saa moja moja kijua kimezama utakuta watu wamekula zao pozi ni mwendo wa wawili wawili mwanzo mwisho.

Watu hawataki bugdha, wengine wakizidiwa wanaamua kumalizana hapo hapo , yaani ni full burudani.

Kinachonishangaza japo ni barabarani kweupeee lakini hakuna mwenye time na life ya mtu, wenye kukamatana wamekamatana, wenye kudendeka ndo usiseme, wenye kupinduana yaani ni vululu vululu.


Namtafuta kipenzi changu asigwa na shemeji yangu Bujibuji twende na sie tukapunge upepo pale argentina tutumie hii fursa kabla ya mwaka kuisha tuone ladha ya mapenzi ya kiswazi. lol
Mchumba, mbona huko kwenu raha??
Mtaani kwetu kuna mzee kafuga majini, watu wanasema eti jogoo hapandi mtungi, ana wivu balaa, akiwaona tu mko wawili, lazima asambaratishe mahusiano.
 
Last edited by a moderator:
Kuna signature sikumbuki ni ya nani inasema "miafrika ndivyo tulivyo"
Watanzania sisi ni malimbukeni sana, ukiacha tu kugeuza hayo maeneo kama gesti bubu bali wengine ndio wameyafanya kama magenge yao ya biashara...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom