Huku ni kufulia, msitudanganye kuwa mna-maintain.

Huku ni kufulia, msitudanganye kuwa mna-maintain.

Old Member (Retired)

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2012
Posts
3,401
Reaction score
1,618
Wadada mmezidi sasa, hivi ni kweli chips sahani moja huwa mnashindwa kumaliza?

Huo ni uongo, haiwezekani chips sahani moja mnakula wanawake wawili. Kibaya zaidi hata soda mna-share.

Hivi kama ni kweli, mkienda chooni huwa mnatoa nini? maana chips zenyewe za Dar hazijai hata kisosi halafu mnakula wawili. Dah..! KWELI MJINI PAGUMU

Dr. MCHUNGUZI HURU (PhD)
 
Last edited by a moderator:
Sie wa mabonde kuinama billa kula chips 2 bado kabisa
 
Hivi kama ni kweli, mkienda chooni huwa mnatoa nini? maana chips zenyewe za Dar hazijai hata kisosi halafu mnakula wawili. Dah..! KWELI MJINI PAGUMU

Dr. MCHUNGUZI HURU (PhD)[/QUOTE]

Hahaha aisee. Hii sentence ndo imenifurahisha.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom