Huku nchini Peru na mifuko ya we plastiki

Huku nchini Peru na mifuko ya we plastiki

Serikali imejiandaaje huo muda wote kama ni kweli? Halafu kama walikuwa wanaongezewa muda ni kosa kubwa. Kwa kiongozi aliye makini anasema eg baada ya mwaka mmoja na nusu kuanzia siku fulani ni mwisho wa matumizi ya mifuko ya plastic. Kipindi hichi cha mpito zinatafutwa njia nyingine mbadala za ku-replace hiyo mifuko.
Mkuu siyo kwamba kama ni kweli bali hata mi hilo tangazo nililisikia, halafu watanzania hatuna tabia ya kuhifadhi kumbukumbu pia kuna tangazo lingine nalo pia tujiandae kisaikojia, hili ni la nguo za mitumba, hili nalo lilitangazwa tangu 2016 nadhani wanasubiri viwanda vya nguo tu vikamilike, vikikamilika tu hakuna nguo za mitumba kuletwa nchini.
 
Mkuu siyo kwamba kama ni kweli bali hata mi hilo tangazo nililisikia, halafu watanzania hatuna tabia ya kuhifadhi kumbukumbu pia kuna tangazo lingine nalo pia tujiandae kisaikojia, hili ni la nguo za mitumba, hili nalo lilitangazwa tangu 2016 nadhani wanasubiri viwanda vya nguo tu vikamilike, vikikamilika tu hakuna nguo za mitumba kuletwa nchini.
Nauliza, serikali ilijiandaa namna nani na ''post-marufuku ya mifuko ya plastiki'' situation?
 
IMG_0294.JPG
52A7453B-546F-4A7B-99A9-F79859A7E470.jpg
 
Nauliza, serikali ilijiandaa namna nani na ''post-marufuku ya mifuko ya plastiki'' situation?
Tena sisi tuna shida sana kwenye masuala ya kumbukumbu na kuzifanyia kazi, mfano mmojawapo ni lile suala la kuzima simu feki, watu waliendelea kutumia simu feki mpaka wakazimiwa wakati walipewa tangazo kwa muda mrefu, likaja suala la viroba nalo likawa hivohivo na mengine mengi, sasa subiri hili suala la kusajili laini watu watakavofungiwa na kuanza kulalamika wakati tangazo wamepewa mapema na kila siku wanakumbushwa kwa meseji.
 
Tena sisi tuna shida sana kwenye masuala ya kumbukumbu na kuzifanyia kazi, mfano mmojawapo ni lile suala la kuzima simu feki, watu waliendelea kutumia simu feki mpaka wakazimiwa wakati walipewa tangazo kwa muda mrefu, likaja suala la viroba nalo likawa hivohivo na mengine mengi, sasa subiri hili suala la kusajili laini watu watakavofungiwa na kuanza kulalamika wakati tangazo wamepewa mapema na kila siku wanakumbushwa kwa meseji.
Huna lolote wewe. Kama ni kumbukumbu labda wewe ndiyo kilaza.
 
Huna lolote wewe. Kama ni kumbukumbu labda wewe ndiyo kilaza.
Mkuu wewe unayo yote na pia siyo kilaza ambae unhoji leo kua serikali ilijiandaaje wakati tangazo lilitangazwa mwaka juzi, ungehoji kipindi hicho hicho cha tangazo kutolewa.

Na vile vile sisi ndo tunaoleta shida ya ubishi kujifanya tunajua kuhoji, wakati tangazo liko mwishoni, wenye viwanda vyao hawana shida wameelewa na wameshaanza kubadilisha baadhi ya mitambo ili watengeneze mifuko mbadala, ubishi na kujifanya tunajua hoja hatutafika mbali.
 
Zamani tulikuwa tunatumia mifuko ya karatasi,Tena yale ya sement wanatengeneza
Nani aliruhusu hii mifuko ya plastiki kutengenezwa hawakuona Hilo tatizo kabla
 
Hivi sisi wa Laundry, ile mifuko ya kubebea nguo na yenyewe kitanzini?
 
Zamani tulikuwa tunatumia mifuko ya karatasi,Tena yale ya sement wanatengeneza
Nani aliruhusu hii mifuko ya plastiki kutengenezwa hawakuona Hilo tatizo kabla
No walijikita in durability now they have seen the impact also pressure from other countries
 
No walijikita in durability now they have seen the impact also pressure from other countries

Swali langu lipo hapo hapo, wataalam wa mazingira hawakufanya utafiti wa kina
Miaka 1990 kurudi nyuma mifuko ya plastiki ilikuwa kwa watu wenye uwezo
 
Swali langu lipo hapo hapo, wataalam wa mazingira hawakufanya utafiti wa kina
Miaka 1990 kurudi nyuma mifuko ya plastiki ilikuwa kwa watu wenye uwezo
Kama tukiendelea kutumia mifuko ya plastic kwa kazi hii si muda mrefu hatutakua na hata ardhi ya kulima.

Mifuko ya plastic huchukua miaka 1,000 kuoza
 
Mkuu wewe unayo yote na pia siyo kilaza ambae unhoji leo kua serikali ilijiandaaje wakati tangazo lilitangazwa mwaka juzi, ungehoji kipindi hicho hicho cha tangazo kutolewa.

Na vile vile sisi ndo tunaoleta shida ya ubishi kujifanya tunajua kuhoji, wakati tangazo liko mwishoni, wenye viwanda vyao hawana shida wameelewa na wameshaanza kubadilisha baadhi ya mitambo ili watengeneze mifuko mbadala, ubishi na kujifanya tunajua hoja hatutafika mbali.
Hapa umezidi kuonyesha uzembe katika kulishughulikia hili tatizo. Kumbe mitambo ndiyo inabadilishwa sasa hihi. Najua hatutaelewa kwa sababu wewe hujui maana ya ''uongozi'' bali unafikiria ''kutawala'' ndiyo kuongoza. Hapo ndipo ilipo shida.
 
Hapa umezidi kuonyesha uzembe katika kulishughulikia hili tatizo. Kumbe mitambo ndiyo inabadilishwa sasa hihi. Najua hatutaelewa kwa sababu wewe hujui maana ya ''uongozi'' bali unafikiria ''kutawala'' ndiyo kuongoza. Hapo ndipo ilipo shida.
Mkuu wewe unaonekana unapenda kubishana na kukimbilia kauli zako tata kama unaona mjadala umekushinda si unyamaze tu.

Kwanza unaonekana wewe ndiyo mzembe wa kupitiliza, mtu amekutangazia kua nataka kumwaga maji, wewe unasubiri mpaka ainamishe chombo maji yaanze kushuka chini ndo unakuja kuhoji kua amejiandaaje au alijiandaaje, unahoji kitu wakati kimeshafika mwishoni, ulikua wapi wakati anatoa tangazo, huo si ndo uzembe wa kupindukia.
 
Back
Top Bottom