Huko mirembe wagonjwa wa akili

Huko mirembe wagonjwa wa akili

Luthar

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2011
Posts
519
Reaction score
105
Kweli ma doctar wa hawa ndugu zetu wana shuhuli nipale walipo ambiwa watoe mifano ili kwa wale waliopona waruhusiwe huyo jamaa wa kwanza alipanda juu kwenye kona ya nyumba akajininginiza mwenzake akachukua rula akaanza kuranda yule kule juu akasema nampa huyo hapo chini mwanga ili anapo randa mbao zi nyooke
 
Kweli ma doctar wa hawa ndugu zetu wana shuhuli nipale walipo ambiwa watoe mifano ili kwa wale waliopona waruhusiwe huyo jamaa wa kwanza alipanda juu kwenye kona ya nyumba akajininginiza mwenzake akachukua rula akaanza kuranda yule kule juu akasema nampa huyo hapo chini mwanga ili anapo randa mbao zi nyooke
mhhhhhhhhhhhhhh:disapointed::disapointed:
 
mi nmemuelewa kua ***** m1 alijitundika juu kama glopu afu mwingine akatumia rula kama msumeno kuranda
 
mi sijaelewa kabisa......... ni lugha gini umetumia mkuu?????????????
<br />
<br />

... Kichaa mmoja alichukua jukumu la kujininginiza na kujiigiliza kuwa yeye ni taa ya kutoa mwanga ...

... Wa Kummulikia Kichaa aliye igiza Rula kuwa ni Randa... Na akajifanya yuko kazini anaranda.

VICHAA HAWA WALIKUWA WAMECHUKUA JUKUMU LA KUONYESHA KUWA WAMEPONA ... !
Sasa wewe unafikiri kweli wamepona? Kama ungekuwa Dr Ungewaruhusu wajiondokee na kwenda nyumbani?
 
fafanua mkuu
Kweli ma doctar wa hawa ndugu zetu wana shuhuli nipale walipo ambiwa watoe mifano ili kwa wale waliopona waruhusiwe huyo jamaa wa kwanza alipanda juu kwenye kona ya nyumba akajininginiza mwenzake akachukua rula akaanza kuranda yule kule juu akasema nampa huyo hapo chini mwanga ili anapo randa mbao zi nyooke
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom