Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 22,361
- 28,011
Huku wamkamulia vyote kwenye madumu.
Vinaitwa nalubhindubhinduHuku nilipo vinaitwa vifurushi.
Ukifika unasema niunge utaulizwa cha siku au wiki. Yaani kimoja au viwili?
Ukishachagua kifurushi chako pendwa unaulizwa tigo au voda. Tigo ni highlife na voda ni London. Ukichagua mtandao basi utaona glass inakuja na moja kwa moja unakuwa umeungwa.
Raha sana.
Huko kwenu wanaitaje?
[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Waziri mkuu /mnara / tembea na muda
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Huku tunaita nyaraka ya serikali...
Bobadier[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Valuer - Fastjet
Konyagi - Bombadier
London - Lewndosky
HahahaaaaaMajinjah express