Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,465
- 45,760
Wachumia tumbo wawe na akili hizo nchi hii, we kaangalie kuna mabox yanaitwa 1st class Dar Mwanza, ndiyo utaelewa,
Tusipofundisha watoto wetu kupenda standards bila kujali watazitumia Au laah, hatufiki. Tutasafirishwa hivyo hivyo ka ng'ombe au gunia za mpunga na mahindi.
Everyday is Saturday.............................
Mkuu umeuwaa eti maboksi
kweli ni bora kuwafundisha watoto ingawa wakienda shule nako wanaona mambo tofauti
Na wakikuwa pia wanakuta wako humu humu kwenye takataka tu