Na pia aseme nini kilisababisha kuchelewa kama walichelewaKwanza ulitakiwa kabla ya kulaumu uttuambie kwa kawaida hiyo treni huwa inatoka muda gani na inatakiwa kufika saa ngapi?
Kuhusu uzembe kwa Watanzania imekuwa ni mazoea kwa usafiri wa mwendokasi mwendazake aliuachaje?