Hujuma Rasmi: sina hakika kama kufika Desemba Deluxe Dar-Arusha itakuepo tena

Huenda haya ndiyo mambo anayoyamudu.
Inawezekana aisee,Tangu hii jamhuri imeanza sijawah kuona Rais anafanya michezo ya kuvuta kamba,hata kama meko alikuwa anatuaminisha "hii nchi imechezewa sana" ila hii ya sasa kali,Rais anacheza na dera? 🤣 🤣 🙌 🙌,Ngoja tuone UZALO itaishia wapi
 
Inawezekana aisee,Tangu hii jamhuri imeanza sijawah kuona Rais anafanya michezo ya kuvuta kamba,hata kama meko alikuwa anatuaminisha "hii nchi imechezewa sana" ila hii ya sasa kali,Rais anacheza na dera? 🤣 🤣 🙌 🙌,Ngoja tuone UZALO itaishia wapi
😆😆😆😆Una kavideo mkuu unipm
 
Leo hii ilikuwa Tanzania tuwe na Luxury Train zetu kama wenzetu ila hata ukimuuliza Boss wa Railway naona hajawahi kusikia Rovos Rail proud of Africa
Au Maharajas express yaani katika raha zote utajisikia kweli
Au Oriental express
Shangri - la Express ya China
Yaani sijui uzwazwa huu utatutoka lini
Mungu katupa ardhi ambayo wengine ni mataifa matajiri duniani lakini hawana hewa kama yetu ila wanajitahidi kwa mambo kama haya

Tunahitaji Train ya kitalii ya uhakika kama za wenzetu na zipite safari za mbuga za wanyama

Hizi ndio Luxury sasa ila hiyo sijui deluxe itasubiri sana kwa wengine

Railways lazima wabadilike wajifunze kwa wengine
Hivi oriental exp Ina miaka mingapi vile?

IMG_2219.jpg

IMG_2217.jpg

IMG_2218.jpg
 
Kwani ratiba ya zamani ilikuwaje? Yaani mnatoka Arusha saa ngapi, na kuwasili Dsm saa ngapi?
 
Leo hii ilikuwa Tanzania tuwe na Luxury Train zetu kama wenzetu ila hata ukimuuliza Boss wa Railway naona hajawahi kusikia Rovos Rail proud of Africa
Au Maharajas express yaani katika raha zote utajisikia kweli
Au Oriental express
Shangri - la Express ya China
Yaani sijui uzwazwa huu utatutoka lini
Mungu katupa ardhi ambayo wengine ni mataifa matajiri duniani lakini hawana hewa kama yetu ila wanajitahidi kwa mambo kama haya

Tunahitaji Train ya kitalii ya uhakika kama za wenzetu na zipite safari za mbuga za wanyama

Hizi ndio Luxury sasa ila hiyo sijui deluxe itasubiri sana kwa wengine

Railways lazima wabadilike wajifunze kwa wengine
Hivi oriental exp Ina miaka mingapi vile?

View attachment 1916439
View attachment 1916441
View attachment 1916442
Wachumia tumbo wawe na akili hizo nchi hii, we kaangalie kuna mabox yanaitwa 1st class Dar Mwanza, ndiyo utaelewa,

Tusipofundisha watoto wetu kupenda standards bila kujali watazitumia Au laah, hatufiki. Tutasafirishwa hivyo hivyo ka ng'ombe au gunia za mpunga na mahindi.

Everyday is Saturday............................. :cool:
 
Back
Top Bottom