Elections 2010 HUJUMA dhidi ya SLAA katika mdahalo wa JK leo

Jamani nimetazama gazeti la leo la RAI, kwa kweli linatia kichefuchefu. Hivi hawa waandishi wa Rai wanaupeo unaofaa au kutosha kupewa nafasi ya keweza kutoa habari kwenye gazeti linalosomwa na umma yote ya Tanzania. Kwa kweli hii ni aibu, uchambuzi wa habari zao upo kijuu juu tu na ni kama vile hata editor pia ni mpumbuvu kuruhusu gazeti lake kutoa habari kama hizi.
 
kuna vichwa vya kupewa masawali na vikapaform, lakini kama mtu ni kilaza, basi ni kilaza tu, hata iweje, JK hata akipewa Maswali atachemsha tu, tatizo sio kumwongelea mtu bali kuongelea matatizo ya watu na jinsi ya kuyatatua
 
Haitutishi mzee wangu! Ninajiuliza swali moja hususan kutokana na ahadi za JK!

Hivi tunahitaji Materials au Tanzankia unahitraji mabadiliko ya usimamizi wa sheria na utekelezaji makini wa sera bila kuwaonea baadhi ya watu? JK amekua akiahidi vitu na sio mabadiliko wala maendeleo endelevu katika majukwaa na sitegemei atakua na kitu kipya!

Slaa ni mtambo na JK haoni ndani ata aje saa ngapi. Leo nimemsikiliza Clouds hana chochote nikaanza kujiuliza upeo wa waandishi waliokwenda kumhoji!

Ushindi unakuja! Aday to go!
 
Aliyeongea last week thursday amepata coverage kubwa kuliko anayeongea leo, amepata at least week nzima kwa vyombo vya habari kudadavua alichokisema,na kuwapa fursa wale ambao hawakupata bahati ya kuangalia kupata yaliyojiri, wananchi wamepata fursa ya kuchangia alichokise na wenzao,

na vile vile wale ambao walikosa fursa ya kukiona kipindi walipata fursa ya kuona recorded version ambazo ziko nyingi sana mitaani na kupata kutoka kwenye vyombo vingine vya habari kwa week nzima, huyu wa leo ijuu, coverage yake ni ndogo kwa kuwa haitakaa in two days watu wanaenda nunua bidhaa.
 
Ha! hivi hawajui ndo wanammaliza mfadhili wao? Hakika kikwete hana mshauri.. Wtz hatudanganyiki tena bora angekaa kimya kuliko huu mdahalo feki anaoufanya leo... Kama atakwenda kinyume na wagombea wenzie amekwisha...
 
Na mjue kuwa sasa hivi jamaa anajitahidi kukusanya kura za vijana kama mmebahatika kusikiliza clouds leo katika LEO TENA amejaribu sana kuongea sera zakuwavuta vijana.

ANGALIZO:-
Leo ni mwisho wa mwezi tarehe 29th Oct, vijana tayari hela ya mshahala ishaingia na mbaya zaidi leo ni ijumaa, kuna kundi kubwa la vijana litakuwa out.
Kesho ni jumamosi magazeti hayataandika habari hii kwa ajili ya muda wa printing, yataandika habari ya jana ya lipumba, kwa hiyo print media out.
Readership ya magazeti weekend huwa chini sana, na wananchi wa kawaida husoma zaidi magazeti ya michezo.


Coverage ya hii kitu ni ndogo isiwape tabu hata kidogo.
 
Kwisha kazi yake huyo, kuna watu wanaingia na but darasani halafu wanshindwa kuitumia.
 
 
Msipoteze muda kuangalia mdahalo nendeni kuhakiki majina yenu. Maamuzi tayari tunayo sasa muda wa propaganda umekwisha. Hata kama hujaona jina lako nenda siku ya kupiga kura ukahakikishiwe katika daftari la wapiga kura. Au tuma ujumbe kenda 15455 utapata majibu mara moja. Msikae kusikiliza mzee wa KUKARIRI. :nono:
 
Kwa kutafakali what is the imlication/effect ya Kikwete kuzungumza na waandishi wa habari kwa wapiga kura leo hii. Natumaini mpaka dakika hii zaidi ya wapiga kura 95% wanajua watampigia nani sijui kama hotuba yake itakuwa na effect kubadili misimamo ya wengi kwa siku mbili hizi
 
kifo cha mtu alokunywa chupa za kusaga ni tofauti kifo mtu kufia usingizini, CCM wanatapatapa walichokunywa kina
wasokota tumboni lakini ni lazima wafe tu
 

haiwezekani kila kitu kikawa hujuma. Ni lazima apatikane mtu wa kuanza na mwingine kumaliza. Dr slaa anajiamini ndio maana hakujali cha kuanza wala kumaliza. Kuhusu watu wa kukaribishwa, hata siku ile movenpick niliona watu wenye mwelekeo wa kupenda mabadiliko wengi zaidi.

Hilo lisikupe taabu. Cha muhimu ni sera kuwafkia wananchi husika.
 
This is too much. Hamjiamini hata kidogo. Simama dede acha kulialia mnakatisha tamaa.

Ni kutafuta sababu za kushindwa kwenye uchaguzi wakati uchaguzi wenyewe bado.
 
Wakuu tusisahau sala kuiombea nchi amani maana kuna kila dalili za ccm kuiingiza nchi machafukoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…