Huenda Samia amejipanga kuishi na wapinzani ki-laghai kama alivyoishi nao bwana yule

Suzy Elias

JF-Expert Member
Nov 9, 2021
1,067
6,193
Historia bado itamkumbuka Rais Kikwete kwa kuishi ki laghai na wapinzani wake muda wote wa uongozi wake.

Rais kikwete alifahamu vyema mdundo wa kina Mbowe na Lisu na hakika aliucheza vyema kwa kuwahadaa na hata walipodemka huko katika mikutano ya hadhara kwanza aliwachapa sawasawa kwa mijeredi kupitia Polisi na kisha aliwaita Ikulu kuwapoza na chai na bashkiti.

Mwisho Rais Kikwete alimaliza Utawala wake kwa amani kabisaaaa!

Sasa kuna dalili Rais Samia ndipo anapotaka kuelekea na tayari ameshamchapa Mbowe na miezi nane gerezani na juzi kamtoa na akamwita Ikulu na kumpoza kwa dinner.

Muda utaongea.
 
Hapo Mbowe atasindikizwa na 200M ili kuweza kurejesha mahusiano sawa! Na

Covid-19 ndio wataenda kuliwa vichwa chap chap. Siasa zile zile za kupiga kelele njaa ikiuma zitaendelea. Kelele zikizidi wanaitwa Ikulu na kupewa vibahasha maisha yanaendelea.
 
Samia anayafanya haya Kwa maslahi ya chama au kwa maslahi ya taifa?
Tatizo la siasa za taifa hili kitu kinachoitwa maslahi ya taifa ni nini, hata viongozi wa kitaifa hawakijui. Wanajua maslahi ya chama tu na matumbo yao makubwa kama pakacha
Hilo ndilo tatizo linalotufanya waafrika tuonekane wa hovyo!
 
Hapo Mbowe atasindikizwa na 200M ili kuweza kurejesha mahusiano sawa! Na

Covid-19 ndio wataenda kuliwa vichwa chap chap. Siasa zile zile za kupiga kelele njaa ikiuma zitaendelea. Kelele zikizidi wanaitwa Ikulu na kupewa vibahasha maisha yanaendelea.
Umenena vyema ndugu.
 
Historia bado itamkumbuka Rais Kikwete kwa kuishi ki laghai na wapinzani wake muda wote wa uongozi wake.

Rais kikwete alifahamu vyema mdundo wa kina Mbowe na Lisu na hakika aliucheza vyema kwa kuwahadaa na hata walipodemka huko katika mikutano ya hadhara kwanza aliwachapa sawasawa kwa mijeredi kupitia Polisi na kisha aliwaita Ikulu kuwapoza na chai na bashkiti.

Mwisho Rais Kikwete alimaliza Utawala wake kwa amani kabisaaaa!

Sasa kuna dalili Rais Samia ndipo anapotaka kuelekea na tayari ameshamchapa Mbowe na miezi nane gerezani na juzi kamtoa na akamwita Ikulu na kumpoza kwa dinner.

Muda utaongea.
Uzuri ni kuwa alichoweza kijifunza ni kuwa wengi wa wanakijani ni ziro brain, na wengi wa wenye mawazo mbadala ni blessed and talented . Sasa ni hiari kuona ama kuendelea kuifuata njia mbaya ya mtangulizi wake au kuifiata njia iliyokuwa njema, ya mkono wa waridhiano na kutunia rasilimali iliyotumika vibaya muda mrefu Kwa manufaa ya taifa na watanzania wote, yaani mawazo chanya ya wenye maino tofauti na Yale ya ndani ya chama chake.
 
Uzuri ni kuwa alichoweza kijifunza ni kuwa wengi wa wanakijani ni ziro brain, na wengi wa wenye mawazo mbadala ni blessed and talented . Sasa ni hiari kuona ama kuendelea kuifuata njia mbaya ya mtangulizi wake au kuifiata njia iliyokuwa njema, ya mkono wa waridhiano na kutunia rasilimali iliyotumika vibaya muda mrefu Kwa manufaa ya taifa na watanzania wote, yaani mawazo chanya ya wenye maino tofauti na Yale ya ndani ya chama chake.
Mawazo ya busara na ya hekima kutoka kwenye kichwa chenye baraka za mwenyezi Mungu. Umebarikiwa sana, na utabarikiwa hadi watu wote washangae. Ukuu wa baraka zako utavuka bahari zote kuu, utavuka bahari ndogo, utavuka maziwa yote makubwa, yale ya maji baridi na maziwa ya maji chumvi. Ukuu wako utavuka mito yote mikubwa kwa midogo, sifa zako zitaenea Jangwani, nyikani,mwituni na mijini kote na vijijini.
Hakika wewe ni mtu mkuu sana, hata ukuu huo usipoupata wewe utabaki daima kwenye uzao wa viuno vyako.

Hakika you deserve my salute
 
Historia bado itamkumbuka Rais Kikwete kwa kuishi ki laghai na wapinzani wake muda wote wa uongozi wake.

Rais kikwete alifahamu vyema mdundo wa kina Mbowe na Lisu na hakika aliucheza vyema kwa kuwahadaa na hata walipodemka huko katika mikutano ya hadhara kwanza aliwachapa sawasawa kwa mijeredi kupitia Polisi na kisha aliwaita Ikulu kuwapoza na chai na bashkiti.

Mwisho Rais Kikwete alimaliza Utawala wake kwa amani kabisaaaa!

Sasa kuna dalili Rais Samia ndipo anapotaka kuelekea na tayari ameshamchapa Mbowe na miezi nane gerezani na juzi kamtoa na akamwita Ikulu na kumpoza kwa dinner.

Muda utaongea.
Wapigania Uhuru wote hupitia cc anayopitia Mbowe, Mandela alikaa Gerezani Miaka 27,alipotoka alikaa na watesi wake, Mzee Jomo Kenyatta alikaa jela alipotoka alikaa na watesi wake, Mbowe amekaa jela, ametoka akae na watesi wake, lakini historian hjirudia, watesi baadaye watateseka wao.
 
Historia bado itamkumbuka Rais Kikwete kwa kuishi ki laghai na wapinzani wake muda wote wa uongozi wake.

Rais kikwete alifahamu vyema mdundo wa kina Mbowe na Lisu na hakika aliucheza vyema kwa kuwahadaa na hata walipodemka huko katika mikutano ya hadhara kwanza aliwachapa sawasawa kwa mijeredi kupitia Polisi na kisha aliwaita Ikulu kuwapoza na chai na bashkiti.

Mwisho Rais Kikwete alimaliza Utawala wake kwa amani kabisaaaa!

Sasa kuna dalili Rais Samia ndipo anapotaka kuelekea na tayari ameshamchapa Mbowe na miezi nane gerezani na juzi kamtoa na akamwita Ikulu na kumpoza kwa dinner.

Muda utaongea.
🎶🎶🎶🎶 Alieuziwa cheni katoa hela bandia, na alietoa hela kauziwa chini bandia. Kwahiyo watoto wa mjini tunasema ngoma droo.. bongo eeeh bongo dar es salaam utalia lia liaaaaa ndani ya dar es salaam 🎶🎶🎶🎶. Sio mbaya mlaghai kuwalaghai walaghai wenzie.

images (1).jpeg


download.jpeg
 
Historia bado itamkumbuka Rais Kikwete kwa kuishi ki laghai na wapinzani wake muda wote wa uongozi wake.

Rais kikwete alifahamu vyema mdundo wa kina Mbowe na Lisu na hakika aliucheza vyema kwa kuwahadaa na hata walipodemka huko katika mikutano ya hadhara kwanza aliwachapa sawasawa kwa mijeredi kupitia Polisi na kisha aliwaita Ikulu kuwapoza na chai na bashkiti.

Mwisho Rais Kikwete alimaliza Utawala wake kwa amani kabisaaaa!

Sasa kuna dalili Rais Samia ndipo anapotaka kuelekea na tayari ameshamchapa Mbowe na miezi nane gerezani na juzi kamtoa na akamwita Ikulu na kumpoza kwa dinner.

Muda utaongea.
What's your point now? Au umeona uanzishe uzi almradi watu waone unajua kusoma Na kuandika? Masala ya Chato regime mnateseka sana. MATAGA ziiiiiiii!
 
Historia bado itamkumbuka Rais Kikwete kwa kuishi ki laghai na wapinzani wake muda wote wa uongozi wake.

Rais kikwete alifahamu vyema mdundo wa kina Mbowe na Lisu na hakika aliucheza vyema kwa kuwahadaa na hata walipodemka huko katika mikutano ya hadhara kwanza aliwachapa sawasawa kwa mijeredi kupitia Polisi na kisha aliwaita Ikulu kuwapoza na chai na bashkiti.

Mwisho Rais Kikwete alimaliza Utawala wake kwa amani kabisaaaa!

Sasa kuna dalili Rais Samia ndipo anapotaka kuelekea na tayari ameshamchapa Mbowe na miezi nane gerezani na juzi kamtoa na akamwita Ikulu na kumpoza kwa dinner.

Muda utaongea.
Mtamsema Rais vyovyote mpendavyo lakini yeye ndiye kiongozi wetu ameonesha njia kwa viongozi wazalendo. Ila Kwa viongozi wenye asili ya ubeberu hawawezi elewa alichokifanya
 
Ndio alimaliza kwa amani awamu yake ila Chama kilikua kinajifia mikononi mwake.
 
Historia bado itamkumbuka Rais Kikwete kwa kuishi ki laghai na wapinzani wake muda wote wa uongozi wake.

Rais kikwete alifahamu vyema mdundo wa kina Mbowe na Lisu na hakika aliucheza vyema kwa kuwahadaa na hata walipodemka huko katika mikutano ya hadhara kwanza aliwachapa sawasawa kwa mijeredi kupitia Polisi na kisha aliwaita Ikulu kuwapoza na chai na bashkiti.

Mwisho Rais Kikwete alimaliza Utawala wake kwa amani kabisaaaa!

Sasa kuna dalili Rais Samia ndipo anapotaka kuelekea na tayari ameshamchapa Mbowe na miezi nane gerezani na juzi kamtoa na akamwita Ikulu na kumpoza kwa dinner.

Muda utaongea.
Na hasa ukizingatia JK ndie Mwalimu sa SSH kwa sasa
 
Historia bado itamkumbuka Rais Kikwete kwa kuishi ki laghai na wapinzani wake muda wote wa uongozi wake.

Rais kikwete alifahamu vyema mdundo wa kina Mbowe na Lisu na hakika aliucheza vyema kwa kuwahadaa na hata walipodemka huko katika mikutano ya hadhara kwanza aliwachapa sawasawa kwa mijeredi kupitia Polisi na kisha aliwaita Ikulu kuwapoza na chai na bashkiti.

Mwisho Rais Kikwete alimaliza Utawala wake kwa amani kabisaaaa!

Sasa kuna dalili Rais Samia ndipo anapotaka kuelekea na tayari ameshamchapa Mbowe na miezi nane gerezani na juzi kamtoa na akamwita Ikulu na kumpoza kwa dinner.

Muda utaongea.

Mtatembua bucha zote yumkini nyama ni ile ile.

Kwetu sisi na mama tuko hapa:

"Not guilty until proven."

Zaidi sana tunasubiri matamko rasmi:

1. Katiba mpya tunatoka vipi?
2. Kamanda Lissu anarejea lini?
3. Lini CDM inakutana na mama?

Habari ndiyo hiyo.
 
Back
Top Bottom